Ana kisauti fulani cha mafua hivi,daah nilikuwa sibanduki kwenye kiredio mkulima cha mzee kilichokuwa kinaishilia ubora wake kwa kukosa mfuniko wa nyuma.
Beatrice Rabach
Glory Robinson
Rahabu Fred
Mkamiti Juma
Fredwaa
Baruan Muhuza
Roy Mlaliki Maganga
Jumaa Ahmed Baragaza
Na wengine wengi hii RFA ilikuwa ya moto na influence kubwa sana kuliko radio nyingine yoyote hapa nchini.