Namtafuta mwanadada anaitwa Neema, wa pale Moshi

Hapa lazma huyu bibie neema alifanya mkubwa sana pale kunako 6×6 aliacha alama hadi mangi anaweweseka kiuwendawazimu kwa kumkumbuka neema. akinadada kazi kwenu mkachukue notes kwa neema😂
 
kwahyo mkuu wewe shuleni ndo ulikuwa unajiita mbosso khan fundi wa mapenzi au sio[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nilimuona pale kwa Mangire akiangalia blue usiku mkubwa kisha asb nikakutana nae akinunua mabubu maeneo yetu nyuma ya MERU 16 alafu nikampeleka kula mdudu pale Kitandu mara TOD huyu hapa ikabidi nikimbilie hme kwa mama Rachel ilikuwa msala
 
Bilashak neema aliupiga mwingi 😂😂😂
Ukimpata mkuu mlete atupe notes😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…