Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlishaangalia usajiliJohn Bunda amekukosea nini Naka?
Umeona walivyo seriousMlishaangalia usajili
Ndio hivyo mkuuHapo sasa ndio nimekuelewa 😂
Ila mtakutana...Labda ije itokee tu bahati, tukutane njiani
Njoo nyumbani, pamenogaWiki ya pili hii bila maji ya gold, si kwa uwezo wangu bali ye aliye juu sana
Ni muda mrefu sanaMlionana siku nyingi mnoo.Kuwa makini usije kumuharibia.
Sema na Mimi vizuri aiseee huyu mtu kwa Sasa yupo Dar ya Salaam, alipata olewa ila ndio hivyo Tena ndoa ndoano...Huyu mwanadada tulikutana naye mwaka 2007, nikiwa naishi old moshi, na yeye akiishi kwao mtaa wa rau Moshi.
Tulikuwa na mahusiano, kipindi hicho na nilitegemea awe ubavu wangu wa kushoto, ila kutokana na kupotezana, ilishindikana.
Alisoma, majengo sekondari Moshi; mrefu wa wastani na ulikuwa mweupe, pia tulikuwa tukionana pale tulipokuwa tukienda kwenye ibada, kanisa la kristu mfalme.
Hitaji langu kwa sasa, nikuone tu na niweze kukusalimia.
Popote ulipo, naomba ujitokeze.
Itaniuma sanaDead and dissapered
Anaweza akawepo mkuu, ni kubahatisha tuUnauwakika atakuwa uku
Itapendeza sana, hata kama ni huko uzeeniIla mtakutana...
Me juzi nimekutana na mtu tuliyepotezana zaidi ya miaka 12 (kifupi tukiwa bado vitoto viduchuu)
Utatumia njia gani kumpata?Sema na Mimi vizuri aiseee huyu mtu kwa Sasa yupo Dar ya Salaam, alipata olewa ila ndio hivyo Tena ndoa ndoano...
Nitafute nikilink nae, uweze msalimia tu.
Inawezekana kwa sababu ni muda mrefu sanaAlishapata mwingine na mwinginee na mwingineeee ...na mwingineeeee ...na mwingineee na mwingine... na wewe utakuwa mwingine kwa mara nyingine
Simu tu nipo na namba zake 3 tofauti!! Haha kupatikana uhakika!!!Utatumia njia gani kumpata?
Nipe cv yake kwanzaSimu tu nipo na namba zake 3 tofauti!! Haha kupatikana uhakika!!!
Anaitwaa Neema kama ulivyomtaja na huyu mrambo ulikuwa wamdate......Nipe cv yake kwanza