Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Labda bibi amempatia babu simuMbona kapokea mwanaume na sio bibi yako?
Si unajua mtu na mkewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bibi amempatia babu simuMbona kapokea mwanaume na sio bibi yako?
Wenye haya majina, wanajua sana kumpagawisha mwanaume
Na wewe unamsikiliza huyo? Tuma mahari bibi ale vyake mapema...si unajua maradh ya uzeeni mara moyo mara presha havisomekiDah nikajua nishaopoa mama. Kumbe imeingizwa choo cha shimo.
Yaani huvuki mstari kamwe hadi uniweke sawa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yani nacheka hadi nazimiaa
Bora hata😂Wiki ya pili hii bila maji ya gold, si kwa uwezo wangu bali ye aliye juu sana
Mlionana siku nyingi mnoo.Kuwa makini usije kumuharibia.Huyu mwanadada tulikutana naye mwaka 2007, nikiwa naishi old moshi, na yeye akiishi kwao mtaa wa rau Moshi.
Tulikuwa na mahusiano, kipindi hicho na nilitegemea awe ubavu wangu wa kushoto, ila kutokana na kupotezana, ilishindikana.
Alisoma, majengo sekondari Moshi; mrefu wa wastani na ulikuwa mweupe, pia tulikuwa tukionana pale tulipokuwa tukienda kwenye ibada, kanisa la kristu mfalme.
Hitaji langu kwa sasa, nikuone tu na niweze kukusalimia.
Popote ulipo, naomba ujitokeze.
Halafu ww haya bwnaYaani huvuki mstari kamwe hadi uniweke sawa🤣🤣
ha ha ha kuna watu huwa wanaacha alama?Si huyu ambaye kila akimpitia binti anamuchia alama ya sigara?
So kale ka kovu kwenye hips kumbe ndio ni alama alikuachia?🤣🤣🤣
Equation x
Mbona unamsemeaNakadori sio size yako mukula😂
Ulikosea kidogo hujaniomba ruhusaNaona imeniamulia kumpeperusha ndege wangu wakati alishaingia tunduni
Haya bwana
Aahh nishaanya bamsiNa wewe unamsikiliza huyo? Tuma mahari bibi ale vyake mapema...si unajua maradh ya uzeeni mara moyo mara presha havisomeki
Umeona eeh ananisemea huyu..Mbona unamsemea
Njoo unipe faraja, ukae ndani mwezi mzima bila kutoka njeUshavurugwa huko moyo umepondwa pondwa sasa watafuta pa kupumulia 🤣🤣🤣
Dah kumbe huyo msela niloebonga nae ni wewe?Nimekuhurumia tu chaliangu sababu u chali ya chuga.
Ungeingia kingi hatari.
Tumekula mahari 9 wewe ungekuwa wa 10🤣🤣🤣
Nakadori
Naomba ruhusa mahari itumwe basiUlikosea kidogo hujaniomba ruhusa
Labda ije itokee tu bahati, tukutane njianiHapo ndio kasheshe sasa
Daah kuna falla alisimuliaga hicho kisa kuwa anaacha alama kwa kila aliyemkula🤣🤣ha ha ha kuna watu huwa wanaacha alama?