Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
ha ha haAnaitwaa Neema kama ulivyomtaja na huyu mrambo ulikuwa wamdate......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haAnaitwaa Neema kama ulivyomtaja na huyu mrambo ulikuwa wamdate......
Achana na wadada wa milimani, utakufa siku sio zako.Utakuja kukosa bahati ya kuolewa maana nina mpango na wewe.
Hao ndio dada zangu sioi nje ya mgombani/milimaniAchana na wadada wa milimani, utakufa siku sio zako.
Seam Eve wewe ni mkorofiNaomba usiendelee kunikumbusha mbali, nilikupenda sana sikuamini ulivoniacha kwenye mataa vile... Nashukuru nimempata ubavu wangu nipo nalishwa vitamu 😁
Shani ilisoma nae A level, halafu nipo nae group la shule, hebu sema kama upo serious nikuunganishe nae, mwenyewe alipost kwenye group la shule kwamba anakutafuta sana😅😅Mimi namtafuta Foibe, tulikuwa tunakaa dawati moja form ii, badala ya kusoma nikaanza kumpenda ila sikuwa na uthubutu, niliendelea kula kwa macho hadi tukamaliza shule..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namtafuta Shani, yeye alikuwa sweetheart wangu shule ya upili, alichangia mimi "kufeli" kwa kuendekeza malove badala ya calculus..[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba usiendelee kunikumbusha mbali, nilikupenda sana sikuamini ulivoniacha kwenye mataa vile... Nashukuru nimempata ubavu wangu nipo nalishwa vitamu [emoji16]
Niunganishe na Shani mkuu, hahaha...ila kama ulisoma nae A level manake hata weweni school mate wangu, kitu ambacho siamini..wewe bado kabinti kabichi.[emoji1787]Shani ilisoma nae A level, halafu nipo nae group la shule, hebu sema kama upo serious nikuunganishe nae, mwenyewe alipost kwenye group la shule kwamba anakutafuta sana[emoji28][emoji28]
Neema kabadilika sana jiji limemchsnganyaAlikuwa mtaratibu sana, hawezi kuwa huko
Nakupa namba yake mzee yupo njia panda himoHuyu mwanadada tulikutana naye mwaka 2007, nikiwa naishi old moshi, na yeye akiishi kwao mtaa wa rau Moshi.
Tulikuwa na mahusiano, kipindi hicho na nilitegemea awe ubavu wangu wa kushoto, ila kutokana na kupotezana, ilishindikana.
Alisoma, majengo sekondari Moshi; mrefu wa wastani na ulikuwa mweupe, pia tulikuwa tukionana pale tulipokuwa tukienda kwenye ibada, kanisa la kristu mfalme.
Hitaji langu kwa sasa, nikuone tu na niweze kukusalimia.
Popote ulipo, naomba ujitokeze.
Inawezekana, ni miaka mingi sanaMbona aliolewa siku nyingi mkuu,yupo Dar skuiz
Check inboxInawezekana, ni miaka mingi sana
Hahaha ngoja nimwonyeshe Shani hii msg halafu akiniruhusu ntakuunganishaNiunganishe na Shani mkuu, hahaha...ila kama ulisoma nae A level manake hata weweni school mate wangu, kitu ambacho siamini..wewe bado kabinti kabichi.[emoji1787]
Nadhani, atakuwa na famili kwa sasaWeka picha tukutafutie kirahisiiii!!
Neema popote ulipo pullliiiizzzzz!!
Kwahio unamtafuta hivohivo na familia yake ama??Nadhani, atakuwa na famili kwa sasa
ha ha haKwahio unamtafuta hivohivo na familia yake ama??
Fanya chap kwa haraka...Hahaha ngoja nimwonyeshe Shani hii msg halafu akiniruhusu ntakuunganisha