Namtafuta mwanadada anaitwa Neema, wa pale Moshi

Namtafuta mwanadada anaitwa Neema, wa pale Moshi

Mimi namtafuta Foibe, tulikuwa tunakaa dawati moja form ii, badala ya kusoma nikaanza kumpenda ila sikuwa na uthubutu, niliendelea kula kwa macho hadi tukamaliza shule..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Namtafuta Shani, yeye alikuwa sweetheart wangu shule ya upili, alichangia mimi "kufeli" kwa kuendekeza malove badala ya calculus..[emoji1787][emoji1787]
 
Mimi namtafuta Foibe, tulikuwa tunakaa dawati moja form ii, badala ya kusoma nikaanza kumpenda ila sikuwa na uthubutu, niliendelea kula kwa macho hadi tukamaliza shule..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Namtafuta Shani, yeye alikuwa sweetheart wangu shule ya upili, alichangia mimi "kufeli" kwa kuendekeza malove badala ya calculus..[emoji1787][emoji1787]
Shani ilisoma nae A level, halafu nipo nae group la shule, hebu sema kama upo serious nikuunganishe nae, mwenyewe alipost kwenye group la shule kwamba anakutafuta sana😅😅
 
Shani ilisoma nae A level, halafu nipo nae group la shule, hebu sema kama upo serious nikuunganishe nae, mwenyewe alipost kwenye group la shule kwamba anakutafuta sana[emoji28][emoji28]
Niunganishe na Shani mkuu, hahaha...ila kama ulisoma nae A level manake hata weweni school mate wangu, kitu ambacho siamini..wewe bado kabinti kabichi.[emoji1787]
 
Huyu mwanadada tulikutana naye mwaka 2007, nikiwa naishi old moshi, na yeye akiishi kwao mtaa wa rau Moshi.

Tulikuwa na mahusiano, kipindi hicho na nilitegemea awe ubavu wangu wa kushoto, ila kutokana na kupotezana, ilishindikana.

Alisoma, majengo sekondari Moshi; mrefu wa wastani na ulikuwa mweupe, pia tulikuwa tukionana pale tulipokuwa tukienda kwenye ibada, kanisa la kristu mfalme.

Hitaji langu kwa sasa, nikuone tu na niweze kukusalimia.

Popote ulipo, naomba ujitokeze.​
Nakupa namba yake mzee yupo njia panda himo
 
Niunganishe na Shani mkuu, hahaha...ila kama ulisoma nae A level manake hata weweni school mate wangu, kitu ambacho siamini..wewe bado kabinti kabichi.[emoji1787]
Hahaha ngoja nimwonyeshe Shani hii msg halafu akiniruhusu ntakuunganisha
 
Back
Top Bottom