Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

Mpira ni mchezo wa wazi. Pale hakuna timu ya kutisha.
wabovu hao msimu huu wamefungwa magoli mpaka wanadaiwa
Wasouth Africa kelele nyingi na wapo overrated na ligi yao PSL kuwa na umaarufu tuu, lakini uwezo mdogo sana kuanzua timu zao za taifa hadi vilabu kidogo mamelodi sikuhzi anajitutumua.. South kelele nyingi uwezo mdogo we angalia ule ubora wa ligi tunaosifia wanshindwa kufuzu AFCON,CHAN na ni jambo la kawaida kuona south kushindwa kufuzu
Eenh! Chineke
 
Kitu pekee ninachojua ni kwamba katika CAFCL Kaizer Chief haijawahi kufika hatua yoyote mbele zaidi ya Simba tokea Timu hiyo ianzishwe.

Na ingawa Ligi ya South Afrika inasifiwa kwa Ubora lakini Timu zao zina Rekodi mbovu kabisa katika Mashindano ya CAFCL, na zinanyanyaswa vibaya zinapokutana na Timu za North Afrika (Za Tunisia, Morocco, Algeria na Egypt). Sasa sijui ubora wa Ligi yao unawasaidia nini? Au tunalishwa Matango pori kuhusu ubora wa Ligi yao.

saivi utakuwa umeelewa eeeh ??
 
GENTAMYCINE uko mbali Sana ktk tasnia ya uchambuzi wa soka. Waliokushambulia Sasa wanakupigia magoti.
Asante sana Mkuu nimezipokea na nawaomba wale walionitukana na kunidhihaki baada ya kutoa Angalizo langu kuhusu Ubora uliofichika ( uliofichwa ) wa Klabu kubwa na nzuri ya Kaizer Chiefs FC ( Amakhosi ) waendelee tu ila nilichobarikiwa na Mwenyezi Mungu nakijua Mimi ambacho wao hakuwabariki nacho.
 
Wasouth Africa kelele nyingi na wapo overrated na ligi yao PSL kuwa na umaarufu tuu, lakini uwezo mdogo sana kuanzua timu zao za taifa hadi vilabu kidogo mamelodi sikuhzi anajitutumua.. South kelele nyingi uwezo mdogo we angalia ule ubora wa ligi tunaosifia wanshindwa kufuzu AFCON,CHAN na ni jambo la kawaida kuona south kushindwa kufuzu
Rudia tena
 
Back
Top Bottom