Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Acha azae si atalelewa hata na huyo alotoa tangazo mkuuKha...huyo boti la kuzaa lilishamuacha. Sasa azae mtoto akiwa na miaka 41 kweli. Mbona mnataka kumtesa tuu huyo mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha azae si atalelewa hata na huyo alotoa tangazo mkuuKha...huyo boti la kuzaa lilishamuacha. Sasa azae mtoto akiwa na miaka 41 kweli. Mbona mnataka kumtesa tuu huyo mtoto
Labda bado bikra hadi umri huo.Nashindwa kuelewa. Ni kwamba hatongozwi au anachagua sana? Au anaowapata wameshindwa kumtia mimba? Haiingii akilini
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Maswali ya namna hii mleta mada ameshindwa kabisa kuyajibu. inaonekana kuna jambo kubwa la siri mnao penda kwa Sadala au kitonga muwe makini huko.Nashindwa kuelewa. Ni kwamba hatongozwi au anachagua sana? Au anaowapata wameshindwa kumtia mimba? Haiingii akilini
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
na sisi wa miaka 25, 26 tunsruhusiwa kutuma maombi.habari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
Mnatafuta waumini mpaka mtandaoni?![emoji30][emoji30][emoji30]Ushauri wa bure nenda eagt city center kwa mchungaji florian katunzi njia ya mbagala kwenye ibada kila ibada pale ni maombezi anza na hapo kwanza kuna mtu mdada nilinpeleka hapo tatizo kma hilo akafunguliwa wanadamu wanamambo huenda wamekufunga mahali maombi ni buure pale nauli yako tu kufika kanisani Trust me utapata njia pale....
Duhhabari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
tusipende kuvunjana moyo binadamu mzaaji ni yeye mwendesha boti ni yeye vipi wewe kumkatisha tamaa. namwombea apate mtu serious na apate watoto idadi apendayoKha...huyo boti la kuzaa lilishamuacha. Sasa azae mtoto akiwa na miaka 41 kweli. Mbona mnataka kumtesa tuu huyo mtoto
Huo ni ubinafsi wakutokufikiria watoto au kisa hawawezi kusema? Watoto raha uweze kuruka ruka na mzazi sio mzazi ata kuruka kamba hawezi sasa kunanraha gani ya kuwa mtototusipende kuvunjana moyo binadamu mzaaji ni yeye mwendesha boti ni yeye vipi wewe kumkatisha tamaa. namwombea apate mtu serious na apate watoto idadi apendayo
pm kama uko serious nikuelekezehabari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
aiseee kwahiyo walemavu wa miguu wasizae kisa hawawezi kuruka kamba ebu acha hizo hakuna umri maalum wa kupata mtoto ni pale Mungu akibarikiHuo ni ubinafsi wakutokufikiria watoto au kisa hawawezi kusema? Watoto raha uweze kuruka ruka na mzazi sio mzazi ata kuruka kamba hawezi sasa kunanraha gani ya kuwa mtoto
Wanzaa ili iweje bwana?aiseee kwahiyo walemavu wa miguu wasizae kisa hawawezi kuruka kamba ebu acha hizo hakuna umri maalum wa kupata mtoto ni pale Mungu akibariki