Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Nashindwa kuelewa. Ni kwamba hatongozwi au anachagua sana? Au anaowapata wameshindwa kumtia mimba? Haiingii akilini

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Maswali ya namna hii mleta mada ameshindwa kabisa kuyajibu. inaonekana kuna jambo kubwa la siri mnao penda kwa Sadala au kitonga muwe makini huko.
 
habari ndugu zangu!

Poleni kwa msiba wa Taifa

Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.

Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.

Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.

sifa za mamdogo yangu.

Ni mkiristo

muajiliwa serikalini

39 years

very charming

black coulour

ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.

Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.

this is very serious aliyeko tayari anichek
na sisi wa miaka 25, 26 tunsruhusiwa kutuma maombi.
 
Ushauri wa bure nenda eagt city center kwa mchungaji florian katunzi njia ya mbagala kwenye ibada kila ibada pale ni maombezi anza na hapo kwanza kuna mtu mdada nilinpeleka hapo tatizo kma hilo akafunguliwa wanadamu wanamambo huenda wamekufunga mahali maombi ni buure pale nauli yako tu kufika kanisani Trust me utapata njia pale....
Mnatafuta waumini mpaka mtandaoni?![emoji30][emoji30][emoji30]
 
unataka mkaka wa umri gan??? au yyte yle atayeweza show???
 
habari ndugu zangu!

Poleni kwa msiba wa Taifa

Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.

Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.

Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.

sifa za mamdogo yangu.

Ni mkiristo

muajiliwa serikalini

39 years

very charming

black coulour

ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.

Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.

this is very serious aliyeko tayari anichek
Duh
 
Kha...huyo boti la kuzaa lilishamuacha. Sasa azae mtoto akiwa na miaka 41 kweli. Mbona mnataka kumtesa tuu huyo mtoto
tusipende kuvunjana moyo binadamu mzaaji ni yeye mwendesha boti ni yeye vipi wewe kumkatisha tamaa. namwombea apate mtu serious na apate watoto idadi apendayo
 
tusipende kuvunjana moyo binadamu mzaaji ni yeye mwendesha boti ni yeye vipi wewe kumkatisha tamaa. namwombea apate mtu serious na apate watoto idadi apendayo
Huo ni ubinafsi wakutokufikiria watoto au kisa hawawezi kusema? Watoto raha uweze kuruka ruka na mzazi sio mzazi ata kuruka kamba hawezi sasa kunanraha gani ya kuwa mtoto
 
habari ndugu zangu!

Poleni kwa msiba wa Taifa

Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.

Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.

Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.

sifa za mamdogo yangu.

Ni mkiristo

muajiliwa serikalini

39 years

very charming

black coulour

ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.

Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.

this is very serious aliyeko tayari anichek
pm kama uko serious nikuelekeze
 
Huo ni ubinafsi wakutokufikiria watoto au kisa hawawezi kusema? Watoto raha uweze kuruka ruka na mzazi sio mzazi ata kuruka kamba hawezi sasa kunanraha gani ya kuwa mtoto
aiseee kwahiyo walemavu wa miguu wasizae kisa hawawezi kuruka kamba ebu acha hizo hakuna umri maalum wa kupata mtoto ni pale Mungu akibariki
 
Kwani mbona mwanaume kuzaa nae rahisi sanaaa tena bila hata yeye kujuaa... Atafuye kijana HB amuhonge hivi wapime ngomaa awe anamgonha kavuuu.. Akiona amepata mimba anamuacha jamaaa

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom