National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Nimpe mmoja na nusu na wewe ubaki na mmoja na nusu.. udugu kusaidiana 😅😅Wapo mkuu, ingawa wananivurugia bajeti tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimpe mmoja na nusu na wewe ubaki na mmoja na nusu.. udugu kusaidiana 😅😅Wapo mkuu, ingawa wananivurugia bajeti tu
ha ha ha acha nipambane nao tu, figa namba nane wakiwa na rangi ya chungwa siwaachi kirahisi; bora nife na tai shingoni.Nimpe mmoja na nusu na wewe ubaki na mmoja na nusu.. udugu kusaidiana 😅😅
Tatizo sio dini; muhimu maisha yaweze kusonga tupeane farajaAisee wa 4 tena?? Watatu wameshakuchosha mkuu..pia dini hairuhusu
Unless rafiki yako kashapata wa kufanana naye, nadhani you should stick to the thread. Otherwise thread yako inaanza kupoteza consistency.Yani unachekesha mpk unajicheka mwenyewe..njoo ulalwe na ww naona unaona wanafaidi sana hao wanaume..
Swaiiinnii kitimoto ww ...
Ameshapata wa kuchagua mkuu tunasubiri muendelezo...Unless rafiki yako kashapata wa kufanana naye, nadhani you should stick to the thread. Otherwise thread yako inaanza kupoteza consistency.
Jaribu kuignore comments zinazochochea hasira
Walishatunzika tayari, hawana shida; wanataka msaidiziBwana watunze hao mawifi zetu watatuu..maisha magumu ujuee..
Sawa mkuu, njoo tule mishikaki ya dagaa hapa kilimaniAisee uko vizuri shemeji...basi sawaa
Nikiwa maeneo hayo, one day nitakutafuta; vinginevyo uje mjiniThanx
Itume Dom kwny shabiby...
Ccy kwa hyo na mim mchumba unanitafutia au njitafutie mwenyewe.Nina friend angu ameniomba nimtafutie mchumba, yeye sio member humu, kuna watu baadhi nimeshamconnect nao wa humu but problem ni umri; yeye ana umri wa miaka 31 na anataka mchumba mwenye umri wa juu yake.
Sifa zake;
- Mweusi
- Urefu Size ya kati.
- Ana elimu ya degree.
- Ana kampuni yake.
- Ana maisha yake anajitegemea.
- Ana hofu ya Mungu.
- Anaishi Dar es salaam.
Sifa za mwanaume amtakae;
- Yoyote mwenye kujielewa.
- Mwenye kufocus na maisha.
- Umri miaka 35 na kuendelea.
- Dini mkristo.
Kwa yeyote ambae yuko tayari a PM nimpe namba waweze kuwasiliana, nitawasaili kwa niaba.
Mimi kama mshabiki wa Yanga, naogopa hata kutuma maombi. Nina sifa nyingi, lakini nina hofu na mtoa mada. Yaani ataenda tu kuniharibia kwa rafiki yake.Akifika kwenye kigezo cha kutaka mume ambaye ni shabiki wa Simba, nipo
Lini sasaSawa hahaahh