Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Heshima Kwenu,
Nina binti anatakiwa awe shuleni form one mwakani.baada ya kuhitimu darasa la saba.
SIFA ZA SHULE
1. Shule ni lazima iwe boarding.
2. ADA mwisho iwe milioni 2.5 kwa mwaka.
3. Nazingatia zaidi Good and strict parenting kwa watoto, Taaluma kwangu iwe option ya pili au ya tatu.
4. Usafi na Lishe kwa wanafunzi uwe fair
Mimi ndugu zangu muda ni changamoto kubwa.
Je, shule ya sifa hizo ipo wapi.
Msaada tafadhari.
Nina binti anatakiwa awe shuleni form one mwakani.baada ya kuhitimu darasa la saba.
SIFA ZA SHULE
1. Shule ni lazima iwe boarding.
2. ADA mwisho iwe milioni 2.5 kwa mwaka.
3. Nazingatia zaidi Good and strict parenting kwa watoto, Taaluma kwangu iwe option ya pili au ya tatu.
4. Usafi na Lishe kwa wanafunzi uwe fair
Mimi ndugu zangu muda ni changamoto kubwa.
Je, shule ya sifa hizo ipo wapi.
Msaada tafadhari.