Namtegemea Mungu kwa asilimia kadhaa, nawashangaa watu wanaomtegemea kwa asilimia zote, Ni kwamba wamesahau kazi ya akili na umuhimu wa kufanya kazi ?

Namtegemea Mungu kwa asilimia kadhaa, nawashangaa watu wanaomtegemea kwa asilimia zote, Ni kwamba wamesahau kazi ya akili na umuhimu wa kufanya kazi ?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Huwa nashangaa sana nikiona collective thoughts za waafrika hasa mitandao ya kijamii, Utaona mtu kaandika "Mwaka huu utapata milioni 100, andika amen" basi utakuta mpaka komenti elfu 1 watu wanaamini watajaziwa pesa kwenye mito wanayolalia waamke wazikute kama mapera.

Wengine hata kujishughulisha ni nehi, mtu yupo serious anakwambia aliepewa kapewa, kila mtu ana rizki yake, na misemo mingine inayomfanya mtu aridhike na sehemu alipo bila kuwa na kiu ya kutafutamaarifa mapya, changamoto mpya, n.k

No wonder Africa tupo nyuma sana kimaendeleo, na jinsi tulivyo wanafki mtu hujifanya kumtegemea Mungu kumbe nyuma ya pazia ni mshirikinam, hapendi maendeleo ya wengine, Mzinzi aliekubuhu, n.k.
 
Tito 3:10 Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae;
 
Huwa nashangaa sana nikiona collective thoughts za waafrika hasa mitandao ya kijamii, Utaona mtu kaandika "Mwaka huu utapata milioni 100, andika amen" basi utakuta mpaka komenti elfu 1 watu wanaamini watajaziwa pesa kwenye mito wanayolalia waamke wazikute kama mapera.

Wengine hata kujishughulisha ni nehi, mtu yupo serious anakwambia aliepewa kapewa, kila mtu ana rizki yake, na misemo mingine inayomfanya mtu aridhike na sehemu alipo bila kuwa na kiu ya kutafutamaarifa mapya, changamoto mpya, n.k

No wonder Africa tupo nyuma sana kimaendeleo, na jinsi tulivyo wanafki mtu hujifanya kumtegemea Mungu kumbe nyuma ya pazia ni mshirikinam, hapendi maendeleo ya wengine, Mzinzi aliekubuhu, n.k.
Kuna kitu hujaelewa na kuna kitu hao unaowasema nao hawajaelewa.
Ngoja nikupe shule kidogo ya mambo ya kiimani kuhusiana na hiyo issue ya kumtegemea Mungu!

Kwanza unapaswa kujua tofauti kati ya KUTEGEMEA vs KUTUMIA.
Kutegemea ni kuweka tumaini katika kitu, na kutumia ni kufanikisha jambo kupitia kitu fulani. Kumtegemea Mungu ni kuamini kile unachokifanya au kutakiwa kufanya basi Mungu yupo pamoja na wewe au Mungu anakikubali. Na hilo linapaswa liwe kwa 100%. Akili na nguvu watu wote tumepewa tuzitumie ili tuweze kufanikiwa haijarishi tunaamini nini au hatuamini nini. Kiimani ni kosa kuchagua kimoja tu na kuacha vingine. Unapaswa umtegemee Mungu (utumaini kuwa Mungu yupo na wewe kukufanikisha katika jambo lolote utakaloliendea kwa akili na nguvu zako), na utumie akili na nguvu zako kwa juhudi zote ili ufanikiwe.
 
Huwa nashangaa sana nikiona collective thoughts za waafrika hasa mitandao ya kijamii, Utaona mtu kaandika "Mwaka huu utapata milioni 100, andika amen" basi utakuta mpaka komenti elfu 1 watu wanaamini watajaziwa pesa kwenye mito wanayolalia waamke wazikute kama mapera.

Wengine hata kujishughulisha ni nehi, mtu yupo serious anakwambia aliepewa kapewa, kila mtu ana rizki yake, na misemo mingine inayomfanya mtu aridhike na sehemu alipo bila kuwa na kiu ya kutafutamaarifa mapya, changamoto mpya, n.k

No wonder Africa tupo nyuma sana kimaendeleo, na jinsi tulivyo wanafki mtu hujifanya kumtegemea Mungu kumbe nyuma ya pazia ni mshirikinam, hapendi maendeleo ya wengine, Mzinzi aliekubuhu, n.k.
Wabongo wanaamini sana katika miujiza baadala ya kutumikisha mayele yao.
Wee sii uliona babu wa loliondo alivyokusanya kijiji
 
Kuna watu wakisumbuliwa na panya ndani.. wanafanya maombi panya aondoke.

Kuna wengine wakisumbuliwa na panya ndani.. wanaweka mitego na sumu ya panya.. na wanafuga paka.

Mpaka hapo unajua yupi anatumia akili kati ya hao wawili.

Kuna watu wanaamini wao na mali zao wanalindwa na Mungu. Ila hawashangai kwa nini huko makanisani wanaposali na nyumba za mapadri na wachungaji kuna walinzi wana bunduki, fensi za umeme na mbwa wakali
 
Mtu mpumbavu husema moyoni mwake Hakuna MUNGU, Wala HANIONI , sasa wewe uko katika upumbavu kwa category tofauti .

Imani ndo msingi wa Mambo yote ukijumuisha mafanikio.. kote hakuna aliyefanikiwa bila kutegemea kilichompa mafanikio ila mbele za jamii anaweza kupinga hakitumainii au hakitegemei. Na wewe kwa hoja yako kuwashangaa wanamtegemea MUNGU kwa asili Mia Mia unastahili kupigwa vibao ujinga ukutoke ili kusudi uijue kweli ya maisha.. Japo inaonekana umeshakuwa sikio la kufa.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom