Najua utakua umecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti bamia! Zipo kuniponza hizi bamia😒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua utakua umecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eti bamia! Zipo kuniponza hizi bamia😒
🤣🤣🤣Sina hamu aiseeNajua utakua umecheka sana🤣🤣🤣🤣
[emoji106]Unakatwa
picha ya bamia tafadhali🤣🤣Eti bamia! Zipo kuniponza hizi bamia😒
Imeze hio pusita yakeHuyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
🤣🤣🤣🤣 UmeanzaaaðŸ¤picha ya bamia tafadhali
ebu tueleze zimekuponzaje🤣🤣🤣🤣 UmeanzaaaðŸ¤
CHAIvipi kitandani fundi ama jau
Wewe inaelekea una masimango mbali ya ubahili na uchoyo.Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa
😎🤦Hongera zake kupata bwana anayemwachia 50 per day hata kabla hajaolewa Wala kuzaa na huyo bwana.
Elfu 50 ni ndogo kwa siku aisee... Hata kama mapenzi siyo hivyo huyo hafai hiyo Hela kwa Siku kumaliza n kubwa sana kwa life la BongoPole braza
Mi nakushauri tafuta ela tu chief
Elf 50 ni ndogo na yeye ana matumizi yake