Aeleze tena kwa herufi kubwa aelewekeebu tueleze zimekuponzaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aeleze tena kwa herufi kubwa aelewekeebu tueleze zimekuponzaje
😄😄😄🤣🤣🤣🏃🏃🙌wa hivyo ukiacha hela kidogo unakuta kauza k
Akili hamna hapo
Tafuta ela braza elf 50 ni ndogo sana kumuachia mke, labda house girlElfu 50 ni ndogo kwa siku aisee... Hata kama mapenzi siyo hivyo huyo hafai hiyo Hela kwa Siku kumaliza n kubwa sana kwa life la Bongo
🤣🤣Zipo kunitesa hapa Yaan mwee😥Aeleze tena kwa herufi kubwa aeleweke
Ushauri murua kama atakuelewa.Chukua wa level yako....huyo ana wenyewe...... wanawake siku zote ni kama hatujui tutakalo..... Pole ila ndo chaguo lako waweza kumbakiza au kumwacha
Ngoja nipate muda wa kuwaza vizuri. Ila amenikwaza sana
Tafuta helaaa. 50k kitu gani? Sisi mbona tunaacha 100k kila siku na inaisha yote na wala hatuuliziHuyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
This is JfTafuta helaaa. 50k kitu gani? Sisi mbona tunaacha 100k kila siku na inaisha yote na wala hatuulizi
Najua wasema hii kauli ili kujifariji sababu labd unampend which I understand,ila brother kama ni mtu ambae umepanga kutokuwa na future inavumilika ila kama umepanga kuishi nae katika shida na raha huyo hawezi change,ata act kubadilika kiasi ukimsema ila kama ni hulka yake itajitokeza tena na mbaya zaidi itakuwa ndani ya ndoa which is too late,mwanaume huwa anafanya maamuzi magum,usidharau hilo ,thats a big red flag kama imejitokeza zaidi ya mara mbili ujue ndio hulka yake,kama unajipa time fanya kuacha tena 50k au zaidi akirudia mchezo huo piga chini direct usipofanya hivo utaingia kwenye zile records za ndoa zinazodum muda mchache,mapenzi hayana ushauri tumia akili zako ila this is reality,HAKUNA MWANAMKE HAPO,personal mwanamke mwenye matumizi mabaya ya pesa kwangu it’s a turn off kabisa
Pole braza
Mi nakushauri tafuta ela tu chief
Elf 50 ni ndogo na yeye ana matumizi yake
Huyu mpezi wangu Nilitaka nimuoe ila nimeahirisha. Kila Nikiacha hela asubuhi, hata kama Ni nyingi lazima aitumie yote.
Mfano; leo niliacha elfu 50 na Ndani Kuna shehena za unga, mchele, maharagwe, mafuta ya kupikia, unga wa ngano, viungo vyote vya mboga n.k lakini nimerudi nakuta imetumika yote.
Alafu vitu vinavyoonekaza alinunua leo Ni maziwa ya unga 400g, cocoa ya elfu 5 na tea masala ya elfu 5 eti elfu 50 imeisha. Kwanza hivyo vitu vina umuhimu gani zaidi ya kuchezea hela tu? Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa.
Nikimuuliza ananipandishia sauti. Nimewaza nimkatae tu.
Umeupimaje huo umasikini?Yaani alafu kwao ni maskini hauwezi amini kwanini haheshimu pesa
Hao Ni matajiri nyuma ya keyboardsKweli JF ina matajiri wengi, elfu 50 unasema ni ndogo? Wakati kuna watu wanashindia elfu 2?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo umeamua kunichana🙄😔Nafikiri huyo mwanamke ni more classy than you, nilifikiri kanunua maitaji binafsi, kumbe ni vyakula...
Tunawaambiaga achaneni na wanawake wanaowazidi akili na mitazamo hamsikii.
Huyo mwanamke sio ubaya, tatizo mtazamo wako wa kifukara wala hakuna lingine.