Namuacha kwa sababu ana matumizi makubwa ya pesa

Imeze hio pusita yake
 
Ila kuna watu mna gubu. Ulimwambia unamuachia hiyo pesa ni ya nini??

Ukute ulijifanya nyamiela don ukamwambia pesa ya matumizi hiyo. Bi dada akaamua kwenda kuitumia na yeye halafu unakuja kumuanzishia uzi hapa.
Kina dada wana mahitaji yao mbali ya kula ikiwemo pedi.

Lalamika endapo ulimwambia hii ni pesa ya matumizi ya nyumbani kwa siku kadhaa halafu urudi ukute kaitumia yote kabla.

Nyie ndio wale wa kuhesabu mpaka finyango za nyama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…