Namuacha mpenzi wangu kisa DP WORLD

Namuacha mpenzi wangu kisa DP WORLD

Habari waungwana!

Baada ya familia kunikomalia nioe nikaona nianze msako ,dada yangu mmoja ni lecturer akanilengeshea kwa ka mwalimu ka sekondali (jina kapuni) Basi baada ya kutumiwa picha akaomba tuonane .
Vigezo alivonivutia

1.Mwanadada ni muwazi kupitiliza sijui umuulize nini ajibu uongo hata kama kitamuharibia yy,mfano nlitonywa kuna mwamba ambae ni mtu mbad shule ya jirani yuko naye ,kumuuliza sio tu alikubali bali alinifungulia chat zao zote ,mpaka mwamba kuniponda sana kuwa nakula hadi ambiance ,nikaamua kuwa muwazi pia nkamwambia ukweli mm sifai ila naomba nipime.

2.Nikaanza mtambulisha kwa washikaji na ndugu kwa kweli kwenda kwa dadangu mkubwa (ndo kanilea ) alijipatia baraka hadi dada akangangania alale pale mm nisepe

3.Kukomaa na kupima ngwengwe (hapa nusu nitoke nduki ila nimetoboa) mtoto namzidi 7 yrs maana ana 27 ila kiwango cha maturity hadi naogopa kabisaa,ameshanishauri sana hadi biashara zangu ashaenda hadi duka langu moro na kukagua akakuta madudu kibao .

4.Kitandani ni tatizo kuu la kimkakati mtoto anamwaga miuno kama yondo sister ,alikuwa hajawahi fika mitaa ya katelelo pale bukoba nimempeleka kachanganyikiwa

KASORO KUU NA KUU SANA

Muda wote huu nilikuwa nashukuru muumba nimekumbukwa mpaka nkaacha kwenda maeneo ya kihuni ,siku moja akaniambia nimpitie karimjee wanamkutano na wenzie tuende lala kwake .LOOOOHH nusu nizimie ,kumbe sikujua dada ni mwnachama wa ChiChieMu ,Si katoka na majezi yao ya kijani ile midela na kikundi cha wenzie wakiimba '' ....mbele kwa mbeleeee'' nilimchukua hadi hoteli ya karibu na kumuuliza swali moja tuu '' NINI MSIMAMO WAKO JUU YA ISHU YA BANDARI '' Asee aliitetea balaa hajui muda huo nilikuwa nikishukuru muumba kwa kuniondolea huu msiba.

Hapa leo siku ya pili sipokei simu yake sitaki hata kumuona shetani mkubwa huyu.
Wewe unaweza ukawa umeleta Chai ..Mimi nilipiga chini pisi Kali kipindi Cha Richmond ...alikuwa anatetea kina Lowasa! Alinikera nikamwambia ..basi hatuendani ,hakuamini!
Cha ajabu Mimi huyu huyu baadaye Mwaka 2015 nikampigia kura Lowasa!😂😂😂
Kwenye Siasa hakuna Uadui wa kudumu!
 
UVCCM ni hataree nina sisy angu kuna cheo aligombea, kuna mtu mjinga mmoja tu anataka papa haelewi kitu, hata rushwa ya pesa hataki yeye kakomalia papa tu!!!!!

Nikiona mdada ana nafasi flani chamani ujue kuna boya kajilia kei [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sauti iko barabara kabisa hii
 
UVCCM ni hataree nina sisy angu kuna cheo aligombea, kuna mtu mjinga mmoja tu anataka papa haelewi kitu, hata rushwa ya pesa hataki yeye kakomalia papa tu!!!!!

Nikiona mdada ana nafasi flani chamani ujue kuna boya kajilia kei [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna best yangu anakosa nafasi japo yy ni kada...kisa anakataa kutoa papa..yani kila akienda huku ni papa inatakwa..nikamwambia achana na chama unakosa nini kwani?.
 
Kuna best yangu anakosa nafasi japo yy ni kada...kisa anakataa kutoa papa..yani kila akienda huku ni papa inatakwa..nikamwambia achana na chama unakosa nini kwani?.

Ndio zao watu wanatumika sana huko chamani, halafu anayeng’ang’ania papa sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni huzuni kwakweli, wanawake vyeo wanavipata kiugumu sana!! Km mke wa mtu ndio hatari zaidi bora single lady hana cha kupoteza
 
Ndio zao watu wanatumika sana huko chamani, halafu anayeng’ang’ania papa sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni huzuni kwakweli, wanawake vyeo wanavipata kiugumu sana!! Km mke wa mtu ndio hatari zaidi bora single lady hana cha kupoteza
Mke wa mtu..namshangaa namwambia achana na mambo ya vyama..watu wanaotaka papa anasema wabaya mnoo...hahahahaah
 
Mke wa mtu..namshangaa namwambia achana na mambo ya vyama..watu wanaotaka papa anasema wabaya mnoo...hahahahaah

Huyo ana tamaa na akipata, mume wake hakuna rangi ataacha kuona kwa mkewe!!!!

Na ataendelea kutumika kingono kwa hao waliompa cheo, wakimchoka wanambwaga anakuwa hana jipya……

Endelea kumshauri uenda atakusikia, maana naona dalili mbaya ya ndoa kuwa na migogoro au kuvunjika kabisa
 
Huyo ana tamaa na akipata, mume wake hakuna rangi ataacha kuona kwa mkewe!!!!

Na ataendelea kutumika kingono kwa hao waliompa cheo, wakimchoka wanambwaga anakuwa hana jipya……

Endelea kumshauri uenda atakusikia, maana naona dalili mbaya ya ndoa kuwa na migogoro au kuvunjika kabisa
Sure...ukisemacho ni kweli...
 
Wewe unaweza ukawa umeleta Chai ..Mimi nilipiga chini pisi Kali kipindi Cha Richmond ...alikuwa anatetea kina Lowasa! Alinikera nikamwambia ..basi hatuendani ,hakuamini!
Cha ajabu Mimi huyu huyu baadaye Mwaka 2015 nikampigia kura Lowasa!😂😂😂
Kwenye Siasa hakuna Uadui wa kudumu!
Leo hata shoga akisimamia bandar tunaungana.
 
Nlidhani nishasikia yote
Embu toa namba zake tuone kwanini anakubali bandari wapewe waarabu
 
UVCCM ni hataree nina sisy angu kuna cheo aligombea, kuna mtu mjinga mmoja tu anataka papa haelewi kitu, hata rushwa ya pesa hataki yeye kakomalia papa tu!!!!!

Nikiona mdada ana nafasi flani chamani ujue kuna boya kajilia kei [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂 mwamba hataki kusikia pesa mchezo KM hahaha au sio
 
Bandari inahusiana nini na mbususu?
Au na yeye ana gati 1,2,3, na 4 zinachukuliwa na DPW
 
Bandari inahusiana nini na mbususu?
Au na yeye ana gati 1,2,3, na 4 zinachukuliwa na DPW
Kuwa serious bro mtu anashikana na wanetu kuwa watumwa wa Hawa mabasha sio wakuchekea
 
Back
Top Bottom