Namuachaje kwa Amani? Nilimtoa kwenye ndoa ili anizalie sasa mke wangu kapata mtoto

Namuachaje kwa Amani? Nilimtoa kwenye ndoa ili anizalie sasa mke wangu kapata mtoto

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Namuachaje kwa amani, nilimtoa kwenye ndoa yake ili anizalie sasa mke wangu naye kapata mtoto sitaki tena kuchepuka!

Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7. Katika kipindi chote hicho mimi na mke wangu tulikuwa hatujabarikiwa kupata mtoto. Tulikwenda hospitalini kupima, ikagundulika yeye ndiye mwenye matatizo, ana hormonal imbalance.

Kabla kuoa kuna mwanamke mwingine nilikuwa naye lakini tulikuja kuachana tu sababu ya umbali, hivyo yeye akaja kuolewa na mimi nikaoa. Yeye tayari alikuwa na mtoto mmoja na mume wake, kuna siku tulikutana mtaani kwa bahati na tukabadilishana namba.

Tukaanza kuchat na akaniambia changamoto za ndoa yake. Kuna wakati alikuwa anaomba pesa namsaidia, basi tukajikuta tumerudiana. Ndipo hapo nikaanza kumuelezea changamoto za ndoa yangu kuwa nimechelewa kupata mtoto na mke wangu ndiye mwenye tatizo. Alikuwa ananiambia mambo ya mume wake na kikubwa ni kipato, mume anafanya kazi lakini ana majukumu mengi ya ndugu, hivyo hawafikii malengo.

Nilimwambia anizalie ili iwe rahisi kumwacha mke wangu. Kweli nilishafikiria kumuacha mke wangu na kwa kuwa alikuwa na mtoto mmoja tu, nilijua hata akimuacha mume wake basi nitaweza kumlea huyo mtoto wake. Kweli alikubali, akabeba mimba yangu akafanya vituko mpaka mume wake akajua!

Nilimshawishi aachane na mume wake na kweli alidai talaka nilimsaidia mpaka wakili. Mimi nikamchukua na kumpangishia sehemu nyingine! Nilihudumia ujauzito lakini mimba ilipofikisha miezi 6 mke wangu naye alipata ujauzito, kweli ilikuwa kama muujiza hata sikutaka kuamini, ila sikumwambia huyo X wangu kua mke wangu ana mimba.

Mke wangu kajifungua mtoto ana miezi miwili sasa, ni kopi yangu kabisa. Nina furaha sana, hivyo siwezi tena kumwacha mke wangu. Kule kwingine bado naenda lakini sasa hivi siwezi kumuoa tena yule mwanamke. Kwanza ana mtoto na mwanaume mwingine, kitu ambacho siwezi kufurahia, lakini pia kama aliweza kumuacha mume wake kwa ajili yangu, vipi siku na mimi sina kipato?

Ninachotaka kujua ni namna gani nitaongea naye ili asije kuniharibia kwa mke wangu. Kwa ninavyomjua muda wote huo amekaa kimya, hajamtafuta mke wangu kwa kuwa anajua kuwa nitamuoa. Hajui hata kama nimeshapata mtoto na mke wangu kwani yuko mkoa tofauti, nisaidie niongee vipi na huyu mtu akubali tu nitalea mtoto ila siwezi kuendelea kumsaliti tena mke wangu!
 
Mara unaoa mara unaolewa.......we vipi
images (7).jpeg
 
Story za huko ziache sis tunapenda za uhusika wako
 
Happ inabidi kubeba msalaba wako,hakuna wa kukusaidia.
 
Namuachaje kwa amani, nilimtoa kwenye ndoa yake ili anizalie sasa mke wangu naye kapata mtoto sitaki tena kuchepuka!

Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7. Katika kipindi chote hicho mimi na mke wangu tulikuwa hatujabarikiwa kupata mtoto. Tulikwenda hospitalini kupima, ikagundulika yeye ndiye mwenye matatizo, ana hormonal imbalance.

Kabla kuoa kuna mwanamke mwingine nilikuwa naye lakini tulikuja kuachana tu sababu ya umbali, hivyo yeye akaja kuolewa na mimi nikaoa. Yeye tayari alikuwa na mtoto mmoja na mume wake, kuna siku tulikutana mtaani kwa bahati na tukabadilishana namba.

Tukaanza kuchat na akaniambia changamoto za ndoa yake. Kuna wakati alikuwa anaomba pesa namsaidia, basi tukajikuta tumerudiana. Ndipo hapo nikaanza kumuelezea changamoto za ndoa yangu kuwa nimechelewa kupata mtoto na mke wangu ndiye mwenye tatizo. Alikuwa ananiambia mambo ya mume wake na kikubwa ni kipato, mume anafanya kazi lakini ana majukumu mengi ya ndugu, hivyo hawafikii malengo.

Nilimwambia anizalie ili iwe rahisi kumwacha mke wangu. Kweli nilishafikiria kumuacha mke wangu na kwa kuwa alikuwa na mtoto mmoja tu, nilijua hata akimuacha mume wake basi nitaweza kumlea huyo mtoto wake. Kweli alikubali, akabeba mimba yangu akafanya vituko mpaka mume wake akajua!

Nilimshawishi aachane na mume wake na kweli alidai talaka nilimsaidia mpaka wakili. Mimi nikamchukua na kumpangishia sehemu nyingine! Nilihudumia ujauzito lakini mimba ilipofikisha miezi 6 mke wangu naye alipata ujauzito, kweli ilikuwa kama muujiza hata sikutaka kuamini, ila sikumwambia huyo X wangu kua mke wangu ana mimba.

Mke wangu kajifungua mtoto ana miezi miwili sasa, ni kopi yangu kabisa. Nina furaha sana, hivyo siwezi tena kumwacha mke wangu. Kule kwingine bado naenda lakini sasa hivi siwezi kumuoa tena yule mwanamke. Kwanza ana mtoto na mwanaume mwingine, kitu ambacho siwezi kufurahia, lakini pia kama aliweza kumuacha mume wake kwa ajili yangu, vipi siku na mimi sina kipato?

Ninachotaka kujua ni namna gani nitaongea naye ili asije kuniharibia kwa mke wangu. Kwa ninavyomjua muda wote huo amekaa kimya, hajamtafuta mke wangu kwa kuwa anajua kuwa nitamuoa. Hajui hata kama nimeshapata mtoto na mke wangu kwani yuko mkoa tofauti, nisaidie niongee vipi na huyu mtu akubali tu nitalea mtoto ila siwezi kuendelea kumsaliti tena mke wangu!
Vyovyote vile tofauti yako na shetani ni kwamba yeye ni roho lakini wewe na mwili unaona. Japo Mimi sio malaika ila bro, unazingua. Subiria malipo yake. Utabeba kapu kichwani.
 
Ushauri wa nini, endelea kuhudumia wote kuanzia mke, mchepuko na watoto, wote ndugu zako hao
 
Sijamalizia nilivoona alikuwa na mtoto basi haina haja.

Yani hamkomi tu mater-core yenu
 
Namuachaje kwa amani, nilimtoa kwenye ndoa yake ili anizalie sasa mke wangu naye kapata mtoto sitaki tena kuchepuka!

Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7. Katika kipindi chote hicho mimi na mke wangu tulikuwa hatujabarikiwa kupata mtoto. Tulikwenda hospitalini kupima, ikagundulika yeye ndiye mwenye matatizo, ana hormonal imbalance.

Kabla kuoa kuna mwanamke mwingine nilikuwa naye lakini tulikuja kuachana tu sababu ya umbali, hivyo yeye akaja kuolewa na mimi nikaoa. Yeye tayari alikuwa na mtoto mmoja na mume wake, kuna siku tulikutana mtaani kwa bahati na tukabadilishana namba.

Tukaanza kuchat na akaniambia changamoto za ndoa yake. Kuna wakati alikuwa anaomba pesa namsaidia, basi tukajikuta tumerudiana. Ndipo hapo nikaanza kumuelezea changamoto za ndoa yangu kuwa nimechelewa kupata mtoto na mke wangu ndiye mwenye tatizo. Alikuwa ananiambia mambo ya mume wake na kikubwa ni kipato, mume anafanya kazi lakini ana majukumu mengi ya ndugu, hivyo hawafikii malengo.

Nilimwambia anizalie ili iwe rahisi kumwacha mke wangu. Kweli nilishafikiria kumuacha mke wangu na kwa kuwa alikuwa na mtoto mmoja tu, nilijua hata akimuacha mume wake basi nitaweza kumlea huyo mtoto wake. Kweli alikubali, akabeba mimba yangu akafanya vituko mpaka mume wake akajua!

Nilimshawishi aachane na mume wake na kweli alidai talaka nilimsaidia mpaka wakili. Mimi nikamchukua na kumpangishia sehemu nyingine! Nilihudumia ujauzito lakini mimba ilipofikisha miezi 6 mke wangu naye alipata ujauzito, kweli ilikuwa kama muujiza hata sikutaka kuamini, ila sikumwambia huyo X wangu kua mke wangu ana mimba.

Mke wangu kajifungua mtoto ana miezi miwili sasa, ni kopi yangu kabisa. Nina furaha sana, hivyo siwezi tena kumwacha mke wangu. Kule kwingine bado naenda lakini sasa hivi siwezi kumuoa tena yule mwanamke. Kwanza ana mtoto na mwanaume mwingine, kitu ambacho siwezi kufurahia, lakini pia kama aliweza kumuacha mume wake kwa ajili yangu, vipi siku na mimi sina kipato?

Ninachotaka kujua ni namna gani nitaongea naye ili asije kuniharibia kwa mke wangu. Kwa ninavyomjua muda wote huo amekaa kimya, hajamtafuta mke wangu kwa kuwa anajua kuwa nitamuoa. Hajui hata kama nimeshapata mtoto na mke wangu kwani yuko mkoa tofauti, nisaidie niongee vipi na huyu mtu akubali tu nitalea mtoto ila siwezi kuendelea kumsaliti tena mke wangu!
Story za kutunga kuumiza watu akili......shwain
 
Mtajuana wenyewee huko huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namuachaje kwa amani, nilimtoa kwenye ndoa yake ili anizalie sasa mke wangu naye kapata mtoto sitaki tena kuchepuka!

Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7. Katika kipindi chote hicho mimi na mke wangu tulikuwa hatujabarikiwa kupata mtoto. Tulikwenda hospitalini kupima, ikagundulika yeye ndiye mwenye matatizo, ana hormonal imbalance.

Kabla kuoa kuna mwanamke mwingine nilikuwa naye lakini tulikuja kuachana tu sababu ya umbali, hivyo yeye akaja kuolewa na mimi nikaoa. Yeye tayari alikuwa na mtoto mmoja na mume wake, kuna siku tulikutana mtaani kwa bahati na tukabadilishana namba.

Tukaanza kuchat na akaniambia changamoto za ndoa yake. Kuna wakati alikuwa anaomba pesa namsaidia, basi tukajikuta tumerudiana. Ndipo hapo nikaanza kumuelezea changamoto za ndoa yangu kuwa nimechelewa kupata mtoto na mke wangu ndiye mwenye tatizo. Alikuwa ananiambia mambo ya mume wake na kikubwa ni kipato, mume anafanya kazi lakini ana majukumu mengi ya ndugu, hivyo hawafikii malengo.

Nilimwambia anizalie ili iwe rahisi kumwacha mke wangu. Kweli nilishafikiria kumuacha mke wangu na kwa kuwa alikuwa na mtoto mmoja tu, nilijua hata akimuacha mume wake basi nitaweza kumlea huyo mtoto wake. Kweli alikubali, akabeba mimba yangu akafanya vituko mpaka mume wake akajua!

Nilimshawishi aachane na mume wake na kweli alidai talaka nilimsaidia mpaka wakili. Mimi nikamchukua na kumpangishia sehemu nyingine! Nilihudumia ujauzito lakini mimba ilipofikisha miezi 6 mke wangu naye alipata ujauzito, kweli ilikuwa kama muujiza hata sikutaka kuamini, ila sikumwambia huyo X wangu kua mke wangu ana mimba.

Mke wangu kajifungua mtoto ana miezi miwili sasa, ni kopi yangu kabisa. Nina furaha sana, hivyo siwezi tena kumwacha mke wangu. Kule kwingine bado naenda lakini sasa hivi siwezi kumuoa tena yule mwanamke. Kwanza ana mtoto na mwanaume mwingine, kitu ambacho siwezi kufurahia, lakini pia kama aliweza kumuacha mume wake kwa ajili yangu, vipi siku na mimi sina kipato?

Ninachotaka kujua ni namna gani nitaongea naye ili asije kuniharibia kwa mke wangu. Kwa ninavyomjua muda wote huo amekaa kimya, hajamtafuta mke wangu kwa kuwa anajua kuwa nitamuoa. Hajui hata kama nimeshapata mtoto na mke wangu kwani yuko mkoa tofauti, nisaidie niongee vipi na huyu mtu akubali tu nitalea mtoto ila siwezi kuendelea kumsaliti tena mke wangu!
Kama sio chai basi wewe jamaa ni mjinga sana! Usicheze na mwanamke namna hiyo utatupiwa pande uteseke maisha Yako yote. Ushauri: kama unataka kumuacha angalau uwe salama kidogo tafuta eneo umnunulie na umjengee nyumba umpe na kimtaji Cha biashara angau awe anapata pesa kidogo kidogo ya kujikimu yeye na watoto wake.usiache kutoa matumizi na huduma nyingine za mtoto.
 
Back
Top Bottom