Namuachaje kwa Amani? Nilimtoa kwenye ndoa ili anizalie sasa mke wangu kapata mtoto

Mfuate yule jamaa mume wa X Wako, kampe story yote kama unavyotuleza sisi hapa sawa?..atakusaidia.
 
WEMA na UBAYA vyote ni MADENI, MUNGU hajawahi kulala na DENI. UTALIPWA TU.
 
Wewe una dhambi sana
 
Jiandae kupigwa kipapai Cha ajabu . Trust me maana mtu ambaye ana kitu Cha kupoteza muongope sana
 
Mtoa mada yawezekana akawa ni,mwanamke vile,vile na,habari za kike haziwezi kumuhusu mwanaume nashauli JF waweke jukwaa la,mabinti kama hawa kwa,ajili ya,kupashana upuuzi wao ,,,over!
 
uzuri ni kwamba,huyo mkeo pia kazaa na mchepuko wake,huyo mtoto sio wako,hiyo kopi raiti unayoisemea ni fikra tu,solution ni kumezea tu na kwa usalama wako muoe tu huyo mchepuko wako
 
Kuachwa ni kuchwa tu, hakunaga kuachwa kwa amani..!! Achika wewe uone kama kuna amani...!!
 
Mchepuko ndiye mwenye hila mbaya moyoni zaidi.
Kwanini alikubali na kushawishika?
Kwanini akikubali ndoa ya mwenzie iingie doa ?
Kwanini anaendeleza tamaa na kukosa uaminifu kwa mumewe ?
Hugo ndie mbaya zaidi na yeye ndie atakaekuwa main victim wa huo uovu wenu.
Haya Mungu nae si Athumani kamfungua mkeo kampa kuzaa , aibu yenu wewe na Hawana yako 👌👌
 
Pumbavu
 
mkeo nae alikuwa na X wake anayempelekea moto kuliko wewe. Kuna siku akakutana nae akamuhadithia matatizobyake ya ndoa kuwa ana miaka saba ndoani hajapata mtoto. Basi wakakubaliana wakutane kwa siri. Baada ya miezi sita tu akapata ujauzito. Ilankwakuwa kitanda hakizai haramu akamwambia aishi kwake alipo.


kumsaliti tena mke wang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…