Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka/Post picha ykoHabari zenu,
Kama kichwa kinavyoonesha,nahitaji mume.
Mimi ni mwanamke Mkristo umri wangu ni miaka 35. Kwa sasa nimeajiriwa taasisi binafsi. Nahitaji mwanaume anayejitambua, mkweli, mtafutaji, muwazi na mwenye hofu ya Mungu. Awe na nia ya kuwa na familia. Akiwa na elimu kiasi itapendeza.Umri kuanzia miaka 33 -46.
Mwenye uhitaji karibu PM.
Asante.
hiyo siyo shida nitaleaUna mtoto???
alikuwa masomoni ulayaTuanze na wewe dada, kati ya umri wa 18-25 ulikua na hofu ya Mungu?
Maana age ya mwanaume ikiwa 30 na kuendelea ndio huwa anakua amejipata.
Huyo mtoto DATAZ anayekaa kwa shangazi hawezi kuelewa haya mamboHaya mambo yanaongeleka kirahisi sana ila niamini mimi ukiwa bize na miangaiko yako watu wa kuingia nao kwenye mahusiano hauwaoni kabisa. Unatoka home asubuhi unarudi jioni umechoka unapumzika tu, ukienda kazi upo bize na majukumu ya kikazi ni ngumu masuala ya mapenzi kukujia akili. Inafika hatua unashangaa hao wengine wanawatoa wapi wapenzi wao. Mimi nilipomaliza chuo kipindi nilikua jobless aisee nimetembeza sana bolo mtaani ila sasa tangu nimeanza kujitegemea nakua bize na miangaiko ya maisha yaani hata hao mademu wa kuwatongoza siwaoni mtaani hata wachache ninaowa-spot nakosa muda wa kuwafatilia hii ndio maana watu wanaamua kujaribu mitandaoni.
mkishakula kula kimasihara mnasepa na namba unamblockMwaka huu hauishi nakuoa mwaaah njoo pm kipenzi
Hata JF kuna watu pia..pia mtu sahihi anapitaka popote, hakuna formula, usimkatishe tamaaKwa hiyo huko unakofanyia kazi, unapoabudia, unakotembelea, unakoishi n.k umekosa kabisa mwanaume na unadhani huku JF ndio utampata aliye sahihi?
Yaani miaja yote unasali kanisani huna mtu mkristo mwenzio wamjua iwe shuke,Sunday school,vyama vya Kikristo,jumuiya,kazini NkHabari zenu,
Kama kichwa kinavyoonesha,nahitaji mume.
Mimi ni mwanamke Mkristo umri wangu ni miaka 35. Kwa sasa nimeajiriwa taasisi binafsi. Nahitaji mwanaume anayejitambua, mkweli, mtafutaji, muwazi na mwenye hofu ya Mungu. Awe na nia ya kuwa na familia. Akiwa na elimu kiasi itapendeza.Umri kuanzia miaka 33 -46.
Mwenye uhitaji karibu PM.
Asante.
Yote kwa yote kila la kheri kwako. Pia usisahu kufanya ibada na kushukuru kwa kila hatua wapo wengi wenye sifa hizo ila kukutana nao vile kuna kaugumu fulani hivi. Ila naami utampata.Habari zenu,
Kama kichwa kinavyoonesha,nahitaji mume.
Mimi ni mwanamke Mkristo umri wangu ni miaka 35. Kwa sasa nimeajiriwa taasisi binafsi. Nahitaji mwanaume anayejitambua, mkweli, mtafutaji, muwazi na mwenye hofu ya Mungu. Awe na nia ya kuwa na familia. Akiwa na elimu kiasi itapendeza.Umri kuanzia miaka 33 -46.
Mwenye uhitaji karibu PM.
Asante.
Mke au mume anapatikana popote pale,hata humu wapo pia,hii ni platform kubwaKwa hiyo huko unakofanyia kazi, unapoabudia, unakotembelea, unakoishi n.k umekosa kabisa mwanaume na unadhani huku JF ndio utampata aliye sahihi?