Namuhitaji Mume Mkristo, awe na nia ya kuwa na familia

Joined Monday
Kwa hiyo huko unakofanyia kazi, unapoabudia, unakotembelea, unakoishi n.k umekosa kabisa mwanaume na unadhani huku JF ndio utampata aliye sahihi?
Kitu kimoja mtu anawaona hao wanaokuja kwake kumtongoza hawana umakini na wengi wanataka kuchovya wanasepa.

Wengi Ke/Me now wapo mitandaoni kutafuta wakiwa serious kuhitaji ndoa, siyo kwamba ni malaya au kakosa huko alipo bali ni mazingira yanakuwa magumu.
 
Njoo DM
 
Futa hiyo thread then njoo DM tumalize kula kitu
 
Ushapata ama bado
 
Shida unaweza kukuta ni singo maza mzoefu au ukawa huna watoto kwasabb umechoropoa sana mimba.
 
Utadepend na mihangaiko ya aina ipi. I work with people ambao wako busy, tena wanafanya critical jobs but ni wapenda nyuchi mbaya, mahusiano huwa yanakuja katika hali usiyoitarajia na mtu ambae hujawahi mtarajia
 
Utadepend na mihangaiko ya aina ipi. I work with people ambao wako busy, tena wanafanya critical jobs but ni wapenda nyuchi mbaya, mahusiano huwa yanakuja katika hali usiyoitarajia na mtu ambae hujawahi mtarajia
Kupenda nyuchi sio tatizo mkuu, ilo mbona ni suala la kuingia tinder tu na kuagiza mzigo, ninachoongelea ni linapokuja suala la kutafuta mke/mume hapo kunakua na ugumu kwa sababu unahitajika muda wa kumfanyia vetting ya kijasusi uyo mwenzako. Sasa kama ninmtu wankutoka asubuhi kurudi jioni unakosa muda wa kujigawa.
 
Kila la heri
 
Nina mke and naishi prke yangu sifa zote ninazo but sina hofu ya mungu namheshimu tu. Kanisa na mimi kama kas na kus karibu pm
 
Ni vizuri umeyao gea hayo , wote hapa tupo na hizo sifa unazozitaka ila , umeelewa kwa nini kabla ya ndowa wanandowa hao hawakwenda serikalini na kusaini ili wapate cheti cha ndowa? Ni kwasababu yote wanaweza yasema ni kweli kwa inje ila unapo anza ishi naye ndio anaonesha yeye ni nani.
 
Loading..........................................
 
Hi
 
Njoo nipo mmeo hapa
 
Vigezo simple.. Nakuombea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…