Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani

siku nyingine ukiwa na tumbo la kuhara usiwe wakimbilia kuandika huku...
 
Yaani spend mtu aandike badala ya s=x
hata mimi wapo wengi sana
L=R
S-X
X-S
Nikishaona hayo maandishi huwa hata msg sijibu,kuna wengine wa kufupisha english mpaka umwulize umemaanisha nini
 
heading majanga,main body sheeeedah. hapo walimu wanakesi ya kujibu
 

mkuu globu lete kiboko tuchape huyu mchafuzi wa mwandiko na maneno
 
weeh ni mwanafunz wa sekondar miandiko yenu ya kihuni inajulikana!shortly umeandka kihuni huwez kupata ushaur kwa watu wazma by teenage writing"!

aaaaah mdogo wangu wa A level ndo ananiandikiaga xaxa ,xxta yaan ananikera.
 
Kama unamuonea huruma unasubiri nini sasa?
 

Acha kuandika mambo ya kipuuzi hapa JF. Kuna watu wakubwa wenye heshima wanasoma hapa. Peleka upuuzi wako kule facebook. Usituharibie Jukwaa letu.

 
yaani mimi siku hizi sijui ni uzee ama nini....maana kila kinachoandikwa humu nakuwa sielewi!
 
Sio kila mwanamke anatoa damu wakat wa kutolewa bikra.....mwingine anatoa but mwingne awez kutoa si unaona tu unavoingiza dushe utaona inagoma kuingia tu

bikra bila damu ni kudanganyana na mnawapata sana hapa mjini kila jumapili umenibikiri bby mimi sijawahi hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…