Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani

Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani

Alikuona poyoyo ndiyo maana sasa arif unataka nn subiri mpaka ajena kitumbo akukumbushe mlikotoka umuoe yaaani unaboa kweli akili yako na unayofanyiwa sawa kabisa.
 
Huyu ni mtoto aseee

hata uandishi wake hamfikii pdidy

doh....

Sasa wewe mtoto...umemuacha huyo mwanamke wewe mwenyewe kwa sababu unazozijua wewe

Sasa unataka nini hapa JF
miss chagga kuna mambo huku
 
Last edited by a moderator:
Loading.... usengerema mwingine bhana ni shiida. mods ondoa mawaidha ya wapiga ramli ase.
 
Huyu ni mtoto aseee

hata uandishi wake hamfikii pdidy

doh....

Sasa wewe mtoto...umemuacha huyo mwanamke wewe mwenyewe kwa sababu unazozijua wewe

Sasa unataka nini hapa JF
miss chagga kuna mambo huku

haya mamabo ya watoto leo weekend nikapate kabia ... huyu mtoto ni matatizo yani kakaaa katuma message 2100 hana kazi ya kufanya? kweli kazi ipo
 
Mkuu kabisa unaandika nmem2100!!!!!????Jaribu kuwa makini katika uandishi wako.

Yaani mimi hapa ndio alikuwa kashanichanganya nikawa najiuliza amemtumia message 2100 zote hizo nikueleza kuwa hamtaki au mbona kama ni fujo kumbe ni kifupisho
 
haya mamabo ya watoto leo weekend nikapate kabia ... huyu mtoto ni matatizo yani kakaaa katuma message 2100 hana kazi ya kufanya? kweli kazi ipo


Hahahahah...nimemtafakari nimeona anamaanisha nimemtumia (2-tu 100-mia,tumia) utoto shida sana
 
Hahahahah...nimemtafakari nimeona anamaanisha nimemtumia (2-tu 100-mia,tumia) utoto shida sana

yani kwa hilo kanitoa nje ya uwanja kweli nimezeeka ... ha ha ha akili yangu mpaka namwadisia mtu hapa kuna mwanaume katuma message whats app 2100 nikawa najiuliza hiyo smu ilipata moto kwa kweli duh
 
yani kwa hilo kanitoa nje ya uwanja kweli nimezeeka ... ha ha ha akili yangu mpaka namwadisia mtu hapa kuna mwanaume katuma message whats app 2100 nikawa najiuliza hiyo smu ilipata moto kwa kweli duh

Hata umekosea kwenye kuhadithia
Huyu sio mwanaume
Haka ni katoto
Wanaume hawako hivo
 
Back
Top Bottom