Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani

Duh hivi wewe ndo ndugu yake Mulugo?
 
Bado nashangaa sana..hivi nini kinasababisha usikae chini uoweke mawazo yako vizuri ya unachotaka kuandika then unaandika...hivi vijana tunakuwaje siku hizi..?!
 

unataka jamaa awe tomaso?
Hivi inakuja akilini mwanamke aweke picha ya mtu asiyemjua?
 
Ugonjwa wa kusubiri matokeo mbaya sana. Umeandika utumbo mtupu hapo.
 
Ndio umeandika nini sasa??? Jifunze kuandika kiJF na sio kiFB. Kafanye homework then ulale kesho shule
 
2ngekuwa tunam know b4 u niu ha ..mbona ingekuwa mwakemwake mwana kwenye kukupa maushauri kama yabmama ushauri... Son kwa vile de ndo namfahalu vizuri bacbka vipi continue kumdeku kisorry sorry hivo kama kawa mwana...
 
Join Date : 10th January 2015
Posts : 34
Rep Power : 308
Likes Received7
Likes Given0

aiseee............
 
Kwanza sijakuelewa unataka nini maana maamuzi ushayafanya ulichokileta hapa hadithi tu.

Kingine Uandishi wako ni utata mtupu
 
Yaani nilipokutana na hilo neno ndio nikachoka zaidi

Na2100.... uvivu gani huu uliopitiliza

Na sie tumjibu na2200

Ha ha umeona eeehhh anajifanya hayuko FB wakati lugha yake ni ushahidi tosha na 'demu' wake
 
Ukimaliza kunyonya uje utuandikie vizuri...ili tujue tuanzie wapi kukushauri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…