Namuhurumia sana mpenzi wangu wa zamani


Maandishi yako yanaelezea uhalisia wako.
 
Dah nimecheka sanaa na hiyo shorthand yake...

Walahi imenichukua dakika kadhaa kuelewa hapa nmem2100...hahahaa kweli ni shidaa kizazi cha facebuka...
 


Kwanza umeandika kihuni sana dogo so sidhan kama utapata ushauri mzuri utakao kusaidia kutokana na uandishi wako watu watakushauri kihuni pia
 
Maliza shule kwanza. Mapenzi kwa Mwanafunzi kama wewe yatakwamisha masomo yako.
 
have you written in kiSomali or what? Please translate
 

Sasa unataka nini? What is the point? Tumesoma, then?

Elimu yako yote hujajifunza uandishi?
 
Just kneel down watch the Heavens an feel sympath an take a position if ungekuwa yeye na yeye ndo wewe...?
 
Sijawahi kuona post iliyoandikwa kipuuzi kama hii tangu mwaka huu uanze.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…