Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Hakuna uhalali maana clear goal la Chirwa refa amekataa,sijui ameona aibu kumuabisha yule beki wenu anayecheza na jukwaa
Mkuu huyo beki mbona anakukera sana? Aliwafanya nini? Basi refa aliyewapa ninyi penati kwenye uwanja huo huo na timu hiyo hiyo alikuwa sahihi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mmeshaanza visa
 
leo hii simba inataka WACONGO
zamani mlikuwa mnatutania timu yetu imejaa wacheza NDOMBOLO
 
Hii yote kusaidia ni ngumu ni kuongea na TFF viporo virudi maana ndo pona pona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…