Mkuu huyo beki mbona anakukera sana? Aliwafanya nini? Basi refa aliyewapa ninyi penati kwenye uwanja huo huo na timu hiyo hiyo alikuwa sahihiHakuna uhalali maana clear goal la Chirwa refa amekataa,sijui ameona aibu kumuabisha yule beki wenu anayecheza na jukwaa
NAMUNGO wanachomeka kibabeEti Ilingia kwa mbinde sanaaaa
Mmeshaanza visaSimba yahitaji Total Overhaul kuanzia management, benchi la ufundi, wachezaji
Wachezaji wapo wengi ambao hawatufai, hivyo tuwateme wote na kuanza upya tukijipa miaka 2-4 ya kupanda kimataifa.
Wachezaji kama Kagere,Wawa, Mzamiru, Nyoni, Lwanga, Mkude, Sadio, Kibu, Mugalu, Bocco, Chama, Banda, Morison hawatufai kwa sasa
Hawa ndo wanatukamua sana kibajeti.
Hawa waondolewe kwa mikataba yao kuvunjwa na tukuze vipaji au tununue wachezaji wazuri kutoka hapo Kongo
Matola na makocha wenzake, Mkurugenzi Rwemamu, hawa waondolewe
Wanaohusika na Scouting waondolewe
leo hii simba inataka WACONGOSimba yahitaji Total Overhaul kuanzia management, benchi la ufundi, wachezaji
Wachezaji wapo wengi ambao hawatufai, hivyo tuwateme wote na kuanza upya tukijipa miaka 2-4 ya kupanda kimataifa.
Wachezaji kama Kagere,Wawa, Mzamiru, Nyoni, Lwanga, Mkude, Sadio, Kibu, Mugalu, Bocco, Chama, Banda, Morison hawatufai kwa sasa
Hawa ndo wanatukamua sana kibajeti.
Hawa waondolewe kwa mikataba yao kuvunjwa na tukuze vipaji au tununue wachezaji wazuri kutoka hapo Kongo
Matola na makocha wenzake, Mkurugenzi Rwemamu, hawa waondolewe
Wanaohusika na Scouting waondolewe
Kubali kwanza mmebebwa,ndiyo nitajibu hayo mengineMkuu huyo beki mbona anakukera sana? Aliwafanya nini? Basi refa aliyewapa ninyi penati kwenye uwanja huo huo na timu hiyo hiyo alikuwa sahihi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mpira ukiisha hata tukifungwa nitakubali kabisa. Wewe ulikubali yale mliyopata kwenye uwanja na timu hiyo hiyo mzunguko wa kwanza?Kwahiyo ushakubali!!?
Hii yote kusaidia ni ngumu ni kuongea na TFF viporo virudi maana ndo pona ponaSimba yahitaji Total Overhaul kuanzia management, benchi la ufundi, wachezaji
Wachezaji wapo wengi ambao hawatufai, hivyo tuwateme wote na kuanza upya tukijipa miaka 2-4 ya kupanda kimataifa.
Wachezaji kama Kagere,Wawa, Mzamiru, Nyoni, Lwanga, Mkude, Sadio, Kibu, Mugalu, Bocco, Chama, Banda, Morison hawatufai kwa sasa
Hawa ndo wanatukamua sana kibajeti.
Hawa waondolewe kwa mikataba yao kuvunjwa na tukuze vipaji au tununue wachezaji wazuri kutoka hapo Kongo
Matola na makocha wenzake, Mkurugenzi Rwemamu, hawa waondolewe
Wanaohusika na Scouting waondolewe
Goooooo aaaah 2-2Kuna draw ya kabati inanukia hapo
Kweli kabisaSasa Pale Chirwa Si Angepiga Tu Mwenyewe Daah