Ekuweme
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 3,520
- 3,962
Mkuu huyo beki mbona anakukera sana? Aliwafanya nini? Basi refa aliyewapa ninyi penati kwenye uwanja huo huo na timu hiyo hiyo alikuwa sahihiHakuna uhalali maana clear goal la Chirwa refa amekataa,sijui ameona aibu kumuabisha yule beki wenu anayecheza na jukwaa
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app