Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Yaani timu nzima inaweza kumkamia Fiston Mayele tu! Leo asingekuwa mwamuzi, tungekuwa tunaongea habari nyingine!

Maana lile goli la tatu la Chirwa, Manula aliamua tu kusimama ili asije kuvunjika nyonga.
Goli la Kapombe ni Offside basi tu ndio mambo yetu sisi wanasimba kuwashikisha chochote marefa na baadhi ya wachezaji na makocha
 
Tumfukuzeni yule m spanish uchwara
 
Simba walitumia nguvu nyingi sana dhidi ya Yanga
Dah, umechemka sana, kwahivyo zile ambazo Simba SC amefungwa kama ya Kagera Sugar na ametoka nazo sare kama ya Polisi

Alitumia nguvu nyingi kutoka kwa nani?
 
Dah, umechemka sana, kwahivyo zile ambazo Simba SC amefungwa kama ya Kagera Sugar na amelizotoka sare kama ya Polisi

Alitumia nguvu nyingi kutoka kwa nani?
Mmerejea? Nilijua mmesusa
 
Naona alikukera sana. Maana jeuri yenu yote ipo kwa Mayele na yeye alinyooka na jeuri yenu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Utopolo bila Mayele ni wepesi kama karatasi, na akina Henock wapo wengi michuano ya CAF

Na majibu yatapatikana Kimataifa
 
Mmerejea? Nilijua mmesusa
Angalia rekodi zangu, sina desturi ya kukimbia wala kususa, hata Simba SC ingefungwa bao za kutosha lakini siwezi kuacha kutoa Live Updates.

Labda kupumzika tu au majukumu mengine, lakini si kukimbia

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
 
Utopolo bila Mayele ni wepesi kama karatasi, na akina Henock wapo wengi michuano ya CAF

Na majibu yatapatikana Kimataifa
Yaani hapo uneongea utafikiri huyo Inonga ni beki mwenye upekee kiasi kwamba ndio wakufanyiwa mfano wakati Simba imefungwa humu ndani na Inonga akihusika. Mechi za kukamiana ndio unachukulia kama kipimo?
 
Angalia rekodi zangu, sina desturi ya kukimbia wala kususa, hata Simba SC ingefungwa bao za kutosha lakini siwezi kuacha kutoa Live Update.

Labda kupumzika tu au majukumu mengine, lakini si kukimbia

Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
Unawashauri nini wasiokuwa na uvumilivu kama vile akina Scars maana hata mabandani huwa anasusa kama mwenendo haupo vizuri wa timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…