mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
wasikubali vip wkt wako nchi nyingine? watii sheria ya nchi waliyoikuta.
Ni kweli kabisa, na ingekuwa uto fc, wangetuambia wote hawana.Kama hawa Angola wanaanza kuweweseka, ingekuwa Simba wangetuambia wote Wana COVID-19/21 pumbavu hawana maana kabisa
Basi tungekuwa tunapimwa bure kweli utoe dola mia halafu upewe fakeSas kama mkuu ashasema tz hamna korona hata wakipima wakakukuta nayo hawawezi kukuambia unayo
Hawajasema wengine wacheze mechi amesema wakae quarantine siku 3 wapi wamesema wacheze mechi. Mbona Simba wamepimwa wote negative wakafanyiwe figisu Namungo? Juzi Bayern Muller ka test positive team nzima negative cha ajabu nini. kuna jamaa mtanzania kaenda USA kapost tweeter kapewa negative certificate kaanza kuumwa kwenye ndege kafika positive hoi. Ndio maana nimekwambia ukipima bongo nchi unayokwenda unapimwa tena sababu hawaamini vipimo vyetu. Hawa watu wa immigration unaenda na sheria za nchi hata team ya zimbabwe walivyokuja Tz baadhi yao walikuwa positive hakuna figisu vipimo hapimi Haji Manara ni Lab tech.We nae jiongeze hizo ni figisu, hawa jamaa ata kaizer chief waliwafanyia figisu hizo.
Why hao wanne waliokutwa nao watengwe then wengine waruhusiwe wachezi mechi.
Ila na wao si watakuja humu tusubiri
Acha ubishi hii ni team ya jeshi na corona wamepimwa na jeshi na majibu yametoka baada ya dakika 2.Hawajasema wengine wacheze mechi amesema wakae quarantine siku 3 wapi wamesema wacheze mechi. Mbona Simba wamepimwa wote negative wakafanyiwe figisu Namungo? Juzi Bayern Muller ka test positive team nzima negative cha ajabu nini. kuna jamaa mtanzania kaenda USA kapost tweeter kapewa negative certificate kaanza kuumwa kwenye ndege kafika positive hoi. Ndio maana nimekwambia ukipima bongo nchi unayokwenda unapimwa tena sababu hawaamini vipimo vyetu. Hawa watu wa immigration unaenda na sheria za nchi hata team ya zimbabwe walivyokuja Tz baadhi yao walikuwa positive hakuna figisu vipimo hapimi Haji Manara ni Lab tech.
Kumbe umejijibu mwenyewe hata hao Namungo wanaweza kuwa wamepata corona safarini. Hakuna limit mwisho kupata corona watu watatu juzi to Aston villa karibia first eleven yote corona cha ajabu nini.Acha ubishi hii ni team ya jeshi na corona wamepimwa na jeshi na majibu yametoka baada ya dakika 2.
Hawajamaa waliwapa kaizer karibu wachezaji kumi na mmoja covid 19 kaizer walipoenda sehemu nyingine ikaonekana hawana
Alafu kwa kessy yako kama iyo ya south Africa, kumbuka wanweza pata covid hata ukiwa safarini kwenye ndege