Namungo FC yazuiwa Uwanja wa Ndege Angola

These guys are masters of burying heads in sand. 🤣 🤣 🤣
 
Dont forget we are Maji Maji war stupid heroes.
That stupid thing was done by our ancestors and we now doing the same.
 
Uelewa wa wakenya kuhusu siasa za mpira wa Africa ni ndogo sana ndio maana Gor Mahia haifurukuti kabisa. Kwa taarifa yako hata Simba walivyoenda Nigeria walitaka kufanyiwa uhuni huo huo ila wakawahi kupima hospital binafsi nyingine wakakutwa wote ni negative. Hizi ni siasa na uhuni wa mpira wa Africa.

FYI: Mnyama wa Msimbazi ameua mtu Congo, tulieni wakati wanaume wa EA tunawawakilisha vyema kwenye clubs tournaments za CAF.
 
Dont forget we are Maji Maji war stupid heroes.
That stupid thing was done by our ancestors and we now doing the same.

Before uttering anything, mention any country that is corona fatality free. Do you have any idea of how is UK seriously stricken by corona?
 
It is true unafanya mzaha na nguvu ya maombi. Then you don't know who is blind here. Pole. I know some days you will see how blind you are.
The blindness in me is no match to the blindness in you who believe that there's no corona in Tanzania despite all the glaring indications. Wake up brother and smell the coffee
 
The blindness in me is no match to the blindness in you who believe that there's no corona in Tanzania despite all the glaring indications. Wake up brother and smell the coffee

Hawa sijui waambiwaje ili waanze kutumia akili, mwenzao huyu anaitwa Makonda kipindi akiwa mkuu wa Mkoa aliwahi kuwa na tamasha la kusheherekea ushindi dhidi ya corona, leo hii yeye ndiye wa kwanza kuwaambie vingine...

 
Mbona hata sisi tulizuia wachezaji karibia 5 wa Platinum wasicheze kwa sababu za covid? Waliopatokana na covid wakae pembeni mbungi ipigwe kama kawaida.
What's your point so far?
 
Hawa sijui waambiwaje ili waanze kutumia akili, mwenzao huyu anaitwa Makonda kipindi akiwa mkuu wa Mkoa aliwahi kuwa na tamasha la kusheherekea ushindi dhidi ya corona, leo hii yeye ndiye wa kwanza kuwaambie vingine...

Hawasikii la Mwadhini wala la mteka maji msikitini. Naibu Rais kule Zanzibar tiyari alikiri ako na corona ila vilaza wengine bado wanaamini vinginevyo.
 
Toka mwaka Jana Marekani na Uingereza waliwaonya raia wake wasije Tanzania, na hilo onyo halijawahi kusitishwa! Pamoja na onyo hilo wataliI wengi wengi waliendelea kuja wakiwemo waliotoa nchi hizi! Kwa nini? Kwa sababu wanajua kuwa ni taarifa za uongo!!
 
Sema hujakumbana nayo
Siyo suala la kukumbana nayo au kutokukumbana nayo! Ni suala la kumwamini Mungu! As simple as that! Mimi huwa nashangaa kwa nini watu huona ni ngumu Sana kumwamini Mungu aliyeumba mbingu na nchi na ndiye atupaye uhai, lakini watu hao hao ni rahisi Sana kuwaamini watu wenzao ambao hawajawahi kuumba hata sehemu tu ya sisimizi!! Uchaguzi ni wako lakini utawajibika vilivyo na matokeo ya uchaguzi wako!!
Dunia imeamua kufumba macho na kukataa kuona na kukubali kile ambacho Mungu amekifanya kwa Tanzania hadharani mbele ya macho ya watu wote!
Hivi kwa akili yako katika mazingira ya Sasa, unadhani Kuna ambaye angepona bila kuvaa barakoa, shule zote zilifunguliwa, michezo kama kawaida, hivi kama korona ingekuwa haijazuiliwa na Mungu unadhani Kuna ambaye angeweza kuficha hivyo vifo vya halaiki ya watu? Wazungu walisema, "Tanzania inaweza kuficha takwimu sahihi za korona lakini haiwezi kuficha vifo vya mlipuko vitakavyotokana na korona!". Wamesubiri mpaka wamechoka bila kuona hivyo vifo vya mlipuko!!
Si kila Mtanzania anaamini mkono wa Mungu kutuponya na korona japo wengi Sana wanaamini. Wale wachache wasioamini wanaikaribisha korona kwa hiari yao na inawaua! Ni uchaguzi wa mtu!! as simple as that! Musa alimwinua nyoka wa shaba Jangwani ili kia mtu aliyeumwa na nyoka akiinua macho kumtazama anapona!! Aliyekataa kumtazama huyo nyoka wa shaba alikufa!! Wako wengi walikubali kumtazama huyo nyoka wa shaba na walipona! Lakini pia wapo waliokataa kumtazama nyoka wa shaba wakiona ni upuuzi, lakini walikufa!! as simple as that!! Ndivyo ilivyotokea Tanzania!! Kwamba Kuna watu wanakufa kwa korona pamoja na kwamba Mungu ameleta uponyaji mkuu Sana kwa Taifa hili, hakubadili ukweli kuwa Kuna mamilioni wengi wanafurahia uponyaji huo wa ki-Mungu na wanadunda bila barakoa, bila social distancing (which in most cases is not practical), na hatuhitaji chanjo!! Kama Kuna msamaria mwema anataka kuisaidia Tanzania, awaulize viongozi wa Tanzania maeneo ambayo wanahitaji msaada!! Vinginevyo dunia itasubiri Sana kuona miili imezagaa barabarani kwa vifo vya korona! Mungu wetu ni mkubwa Sana na hilo haalitatokea! Japo dunia haitaki kukiri kwa wazi uponyaji huu kwa Tanzania, lakini dhamiri zao zinawashuhudia kila siku kuwa Mungu amesimama na Taifa la Tanzania ili awalinde na korona! Huu no ukweli ulio wazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…