Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

Ni dhaifu au siyo dhaifu?
 
Hii ya Ngao ya Hisani
Ile Ngao ya Jamii ambayo ilifikia wakati mlikuwa mnaombea mpira uishe tu ili mkabahatishe kwenye changamoto ya mikwaju ya penati!

Ile Ngao ya Jamii ambayo tulishuhudia timu moja ikipelekewa moto ndani ya dakika zote 90 za mchezo!!
 
Kuna namna rage alikuwa sawa
 
Itakuwa wana mtu hata ndani ya El Merreick ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hili kolo linajionaga smart kweli[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…