Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

UTOTO RAHA SANA ALAFU UKIJUA ITAKUSAIDIA NINI??????

LENGO LAKO HASA NI NINI

HILI NI JUKWAA LA MICHEZO NA SI JUKWAA LA USHABIKI ,WALA UPINZANI.

Ndio maana mnaambiwa kuwa WENYE akili Timamu ni wawili tu.


Kila mtu ana Mrefu wake na Kila Mtu ana Mfupi wake.

JESHI la south Africa ni JESHI Hodari.

Lakini likikabiriana na JESHI ALA marekani tutasemaje!!????

Kila mibonde ana Kibonde wake,
Na Kila Hodari ana Hodari wake.

Udhaifu Inategemeana umekutana na nani.
Mimi Kwa Sasa humu jukwaani nakukubali Sana. Ila hoja ya mleta hoja ina hoja.
Maneno yako ni ya kiuanamichezo Sana, kwamba Kila Mbabe ana Mbabe wake, Kila mrefu ana mrefu wake nk.
Na huo ndo ukweli, asitokee Mtu akatuambia huyu kapigwa Kwa sababu Kila Mpinzani anaambiwa asikinge uso ili ngumi ziingie bila kipingamizi.
 
Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
Mbumbumbu pro max

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UTOTO RAHA SANA ALAFU UKIJUA ITAKUSAIDIA NINI??????

LENGO LAKO HASA NI NINI

HILI NI JUKWAA LA MICHEZO NA SI JUKWAA LA USHABIKI ,WALA UPINZANI.

Ndio maana mnaambiwa kuwa WENYE akili Timamu ni wawili tu.


Kila mtu ana Mrefu wake na Kila Mtu ana Mfupi wake.

JESHI la south Africa ni JESHI Hodari.

Lakini likikabiriana na JESHI ALA marekani tutasemaje!!????

Kila mibonde ana Kibonde wake,
Na Kila Hodari ana Hodari wake.

Udhaifu Inategemeana umekutana na nani.
Chomoa uja..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na ubora wa yanga kila ambapo mechi ya yanga inapoisha kumekua na maneno kutoka kwa mashabiki wa timu kubwa pinzani na yanga kwamba yanga anacheza na timu dhaifu.

Baada ya kushinda goli 5 kwa mechi mbili mfululizo kwenye ligi kuu na kuwatoa al sabieh kwa jumla ya magoli 7-1 mashabiki pinzani wakasema izo timu ni dhaifu na atakapokutana na al-marrikh atapata upinzani mkali kwa maana iyo timu ina uzoefu wa michuano ya CAF ila game ya mzunguko wa kwanza yanga kashinda 2-0 na kuonesha uwezo mkubwa zaidi ya el marreick.

Kesho yanga anashuka dimbani kucheza na namungo. Kabla ya game ya kesho naomba kujua mtazamo wa mashabiki wa timu kubwa pinzani na yanga. Je namungo ni dhaifu au sio dhaifu?
GENTAMYCINE anasema Namungo siyo wadhaifu Kwa kuwa kwanza wanafundishwa na Kocha Kaze
 
Namungo sio dhaifu ila kunabaadhi ya wachezaji washapitishiwa mlungula toka week iliyo pita ivo tusitegemee game ya ushindani siku hiyo tutegemee makosa ya kibinadum mengi mala kujifungu mala kujiangasha kwa kifupi yanga washaimaliza hii game. Hivo j5 nikukamilisha ratiba tu
Aahaaaa
 
Kweli wewe ni Tui la nazi.
Club Africain kapigwa kwao
Tp Mazembe kapigwa nje ndani
Marumo kapigwa nje ndani
USMA kapigwa kwao
Rivers united kapigwa Taifa
Monastir kapigwa taifa
Real Bamako kapigwa taifa
Al Merrikh kapigwa Kigali

Nyie endelezeni propaganda ila mkija kustuka kuhusu kupiga hatua kwa Yanga, mtakuwa mmeshachelewa. Msimu uliopita mlisema shirikisho ni kwa vibonde ila klabu bingwa ndio kwa wanaume, haya Yanga makundi mguu mmoja upo ndani. Msije badilisha maneno huko mbeleni japokuwa tumejionea bingwa wa klabu bingwa akigalagazwa na bingwa kombe la vibonde.
Watajifanya hawaoni hiki
 
Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
Na nyie wekeni watu wenu
 
Game ya leo kipindi cha kwanza itakua ngumu ila cha pili tutajionea
 
Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
😂😂Ila watu bana hili TFF hawalijui mpaka mimi na wewe tulijue? Bodi ya ligi je
 
😂😂Ila watu bana hili TFF hawalijui mpaka mimi na wewe tulijue? Bodi ya ligi je
TFF ipi?Kuna ligi duniani timu inacheza mechi tatu za mwanzoni zote nyumbani?Kuna ligi timu zinaahidiwa pesa zikicheza na timu fulani tu huku TFF na Bodi ya ligi zimekaa kimya?Kuna ligi refa aliyesimamishwa na FIFA kwa kufeli Cooper Test anachezesha na alichaguliwa kuwa refa bora? Timu imecheza mechi Kigoma na baada ya siku mbili inatakiwa icheze Mbarali!
Tangu ligi ianze uliona timu kubwa zikicheza saa nane?Ligi ya England timu zote zina haki sawa kwenye ratiba. TFF huwa ndio inaamua kubeba timu kwa ratiba na marefa hakuna haki sawa kwa wote.
 
Back
Top Bottom