Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

Namungo ni dhaifu au sio dhaifu?

TFF ipi?Kuna ligi duniani timu inacheza mechi tatu za mwanzoni zote nyumbani?Kuna ligi timu zinaahidiwa pesa zikicheza na timu fulani tu huku TFF na Bodi ya ligi zimekaa kimya?Kuna ligi refa aliyesimamishwa na FIFA kwa kufeli Cooper Test anachezesha na alichaguliwa kuwa refa bora? Timu imecheza mechi Kigoma na baada ya siku mbili inatakiwa icheze Mbarali!
Tangu ligi ianze uliona timu kubwa zikicheza saa nane?Ligi ya England timu zote zina haki sawa kwenye ratiba. TFF huwa ndio inaamua kubeba timu kwa ratiba na marefa hakuna haki sawa kwa wote.
Usiseme tu weka wazi timu gani ziliahidiwa pesa au tupe ushahidi hela zilizotolewa timu fulani zikipewa ili zifungwe mkuu

Hili la timu baadhi kucheza mchana saa8 ni udhaifu wa wapanga ratiba na linapigiwa kelele mara nyingi
 
Mkuu hujui kwamba Prisons, Dodoma Jiji na KMC waliahidiwa pesa?Kuhusu saa 8 hatua zipi zimechuliwa?Timu kucheza mechi 3 nyumbani umeona wapi?
 
Ile Ngao ya Jamii ambayo ilifikia wakati mlikuwa mnaombea mpira uishe tu ili mkabahatishe kwenye changamoto ya mikwaju ya penati!

Ile Ngao ya Jamii ambayo tulishuhudia timu moja ikipelekewa moto ndani ya dakika zote 90 za mchezo!!
Na mlifungwaaaa, tutoleee kelele zako hapa

Sasa unapeleka motooo na hufiki mshindo inasaidia nn? Mwenzako kakugeuza chap kakukojolea kojo zitooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
Mtakuja kuuumia very soon
 
Kweli wewe ni Tui la nazi.
Club Africain kapigwa kwao
Tp Mazembe kapigwa nje ndani
Marumo kapigwa nje ndani
USMA kapigwa kwao
Rivers united kapigwa Taifa
Monastir kapigwa taifa
Real Bamako kapigwa taifa
Al Merrikh kapigwa Kigali

Nyie endelezeni propaganda ila mkija kustuka kuhusu kupiga hatua kwa Yanga, mtakuwa mmeshachelewa. Msimu uliopita mlisema shirikisho ni kwa vibonde ila klabu bingwa ndio kwa wanaume, haya Yanga makundi mguu mmoja upo ndani. Msije badilisha maneno huko mbeleni japokuwa tumejionea bingwa wa klabu bingwa akigalagazwa na bingwa kombe la vibonde.
Naunga mko hoja 👍👍👍
 
Mashabiki wa makolo wana depression wamejaa ubishi na kuyaonea wivu mafanikio ya yanga soon mtakuwa wajane nyie
 
Unajua kinachozungumzwa hapa? Ni kufungwa match nyingi na magoli mengi.
Usitoke nje ya madaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa wew na mimi nani kamkanda mwenzie sana nimekuzidi kila kitu hadi dhambi mtani wew una timu ya hovyo sana subiria baadae kupata burudani ya soka safi sio soka la kuloga hovyo ili ushinde
233BC107-AD23-4E51-82D5-8B15F4BB8ED9.jpeg
 
Sawa wew na mimi nani kamkanda mwenzie sana nimekuzidi kila kitu hadi dhambi mtani wew una timu ya hovyo sana subiria baadae kupata burudani ya soka safi sio soka la kuloga hovyo ili ushindeView attachment 2755837
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had dhambii mbna tunajua, kabwili alithibitisha, na Feitoto alikimbia hicho.

Bado hujasema, yaan had usemee.
 
Yanga wamefanya mbinu za kuweka watu wao kwenye uongozi wa timu za ligi kuu.Huu mchezo utaendelea kesho kwa kiongozi wa Namungo Omari Kaaya kupokea maagizo.Wamefanya pia kwa Tabora United na Thabit Kandoro.Wote ni viongozi wa kamati za Yanga na wanachama hai.Mpira wa Tanzania una safari ndefu.
Na al mereikh na adt nako tuna viongozi? We mwehu kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had dhambii mbna tunajua, kabwili alithibitisha, na Feitoto alikimbia hicho.

Bado hujasema, yaan had usemee.
Screenshot_20230916-200556.jpg

Mwamedi kawala kichwa humu kipa la hovyo
 
UTOTO RAHA SANA ALAFU UKIJUA ITAKUSAIDIA NINI??????

LENGO LAKO HASA NI NINI

HILI NI JUKWAA LA MICHEZO NA SI JUKWAA LA USHABIKI ,WALA UPINZANI.

Ndio maana mnaambiwa kuwa WENYE akili Timamu ni wawili tu.


Kila mtu ana Mrefu wake na Kila Mtu ana Mfupi wake.

JESHI la south Africa ni JESHI Hodari.

Lakini likikabiriana na JESHI ALA marekani tutasemaje!!????

Kila mibonde ana Kibonde wake,
Na Kila Hodari ana Hodari wake.

Udhaifu Inategemeana umekutana na nani.
We Kweli Mama Kolo, Kolo Kimbo Kabisaa..
 
Back
Top Bottom