Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli mkuu kwa sasa najikaza kiume nijue huku nikichunguza kwa karibu, niliwahi kumuuliza kua kama wakiingia majambazi unaweza kumkata panga, au kumpiga lisasi, akasema anaweza. sasa namchunguza kwa karibu ingawa sitaki ajue kwa sasa niko na hofuUsipuuzie hizo kauli tena endapo huwa anarudia mara kwa mara
Acheni kuoa wanawake wabaya na wasio na featureMwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua, kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.
kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Ila una uhakika upo hai kwa sasa! Na unaweza kutuhakikishia hilo?ni kweli mkuu kwa sasa najikaza kiume nijue huku nikichunguza kwa karibu, niliwahi kumuuliza kua kama wakiingia majambazi unaweza kumkata panga, au kumpiga lisasi, akasema anaweza. sasa namchunguza kwa karibu ingawa sitaki ajue kwa sasa niko na hofu
Mjomba unalo...duh...hapo roho mkononi siku yoyote unapotezwa.Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua, kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.
kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Kama huchepuki unaogopa nini? Kama unachepuka ni kwanini?Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua, kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.
kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.