Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
😂😂DahIla una uhakika upo hai kwa sasa! Na unaweza kutuhakikishia hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂DahIla una uhakika upo hai kwa sasa! Na unaweza kutuhakikishia hilo?
Mwambie pia kwamba wewe ukisikia yeye anachepuka hutachunguza ni risasi saba za kichwa bila kusita.Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua
Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.
kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Aisee. Nimecheka kweli hii comment.Wewe unaogopa kufa kwani hutaki kwenda mbinguni? Au wewe mtenda dhambi?
Ushauri wangu toa sadaka mali zako zote kwani karibuni huyo mchumba wako atakurejesha kwa baba wa mbinguni. Pia tubu dhambi zako.
Wanawake wana tabia ya kuongea feelings zao tofauti na sisi kwa hiyo usichukulie poa hiyo kauli.baada ya kuona niko na hofu alinambia ananitania hawezi fanya hivyo. hofu yangu ni kua dada ake ananambia aliwahi kumwagia ndugu yake chai ya moto alipokua na hasira. sasa niki reflect hayo matukio nahisi kama anamaanisha vile