Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Mkuu una Mali gani!?
Je ushaanza kuandika wosia!?
Huyo atakuuwa kweli maneno huumba na ameshaweka akilini kuuwa!
Achana naye! Hamia mikoa ya mbali
 
Brother muue yeye mapema iwezekanavyo kuepuka usumbufu mdogo mdogo unaoweza kutokea.
 
Historia na takwimu zinaonyesha kuwa wenza wanaojifanya Wana wivu sana huwa ndio wanaoongoza kwa kutokuwa waaminifu.......Ile wivu anaokuonyesha ni kama anaweka pazia kwenye mambo yake machafu......
 
It was necessary! Hii ndoa ilikuwa ni lazima ife! Isingekufa mabaya zaidi yangetokea
 
Acha uoga dogo ww jilipue tu
 
Hebu jaribu kuchepuka tumwone kama atakuua
 
Subiri ufe tukuzike maana sisi wanaume hakuna mwenye mwanamke mmoja
 
It was necessary! Hii ndoa ilikuwa ni lazima ife! Isingekufa mabaya zaidi yangetokea
Ndugu zangu hasa baba na mama walifanya juhudi sana kututenganisha ila mimi nilkuwa namwonea huruma sana maana kwao hapako vizur yemweye yupo yupo tu
 
Piga chini ya fasta, huyo wa kuua kisa tetesi hafai.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mapenzi yanaendeendesha dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…