Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Namuogopa mke wangu, anaweza kuniua

Mkuu una Mali gani!?
Je ushaanza kuandika wosia!?
Huyo atakuuwa kweli maneno huumba na ameshaweka akilini kuuwa!
Achana naye! Hamia mikoa ya mbali
 
Brother muue yeye mapema iwezekanavyo kuepuka usumbufu mdogo mdogo unaoweza kutokea.
 
Historia na takwimu zinaonyesha kuwa wenza wanaojifanya Wana wivu sana huwa ndio wanaoongoza kwa kutokuwa waaminifu.......Ile wivu anaokuonyesha ni kama anaweka pazia kwenye mambo yake machafu......
 
Niliwah kuwa na mke wa hiv bahati nzur nilikuwa naishi na wazazi,wazazi walifanya juu chini mpaka tukaachana

Aliwah kujitia kitanzi mara mbili nikawa namuokoa tatzo likiwa ni simu akisikia maex wananiomba hela inakuwa ni tatzo

Baada ya kujaribu hzo mara mbili namuokoa baadae aliniambia hatajidhuru tena bali ataniua mimi,wazazi niliwaambia hii sentensi wakaamua kuivunja ndoa
It was necessary! Hii ndoa ilikuwa ni lazima ife! Isingekufa mabaya zaidi yangetokea
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Acha uoga dogo ww jilipue tu
 
Mwandani wangu amesema endapo akisikia tu ninamchepuko ataniua tena nikiwa usingizini, anasema hata niuliza atachunguza kisiri siri then akiwa na ushahidi ataniua.

Kwamba ni bora asinione kabisa, nimemuuliza kuhusu yeye kufungwa jela anasema hio hajali kikubwa asinione. Nimemwambia akisikia aniulize kwanza anasema kua akiniuliza nitamdanganya.

kuhusu dhambi ya kuua anasema Mungu anasamehe zambi zote. nimekua na hofu sana kwa sasa nadhani anaweza kua anamaanisha ingawa mazungumzo yalikua casual.
Hebu jaribu kuchepuka tumwone kama atakuua
 
Subiri ufe tukuzike maana sisi wanaume hakuna mwenye mwanamke mmoja
 
It was necessary! Hii ndoa ilikuwa ni lazima ife! Isingekufa mabaya zaidi yangetokea
Ndugu zangu hasa baba na mama walifanya juhudi sana kututenganisha ila mimi nilkuwa namwonea huruma sana maana kwao hapako vizur yemweye yupo yupo tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mapenzi yanaendeendesha dunia
 
Back
Top Bottom