Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Umenikumbusha na wa kwangu tukiwa tunachat nikimkera anakuaga mkali kwenye sms ila nikimpigia simu au tukiwa live tuyamalize maneno yote yanamuisha Yani anakuwa siyo yule wa kwenye sms.....hii inafanya hata ugomvi uwe mkubwa vipi ,na solve kwa muda mfupi
Huchukulii hiyo tabia kama gubu mkuu?
 
Back
Top Bottom