Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Huo ni uchawi na asili yake ni Simba au chatu mfano Kwa tuliopita shule Kubwa unakuta wanafunzi mnataka kugoma mna malalamiko kibao lakini kengele ikigongwa pale Assembly MKUU WA SHULE AKIFIKA mnajikûta mnatetemeka na uoga wa kufa mtu siyo Bure huwa ni madawa.

Dawa ya simba ni kutawanya kama ilivyo Kule porini Simba akitokea wanyama hutawanyika wakiwa ktk taharuki ya woga.

Dawa yenye asili ya chatu ni ya kuogofya hata waliochunga mifugo kama jirani kuna chatu wao huhisi harufu utaona wanyama wanakuwa na hofu ingawa hawakimbii lakini wanakuwa wanyonge.
Hivyo kaka Kwa maelezo ulotoa ingawa umejitetea kwamba hujalogwa nikwambie tu Si Kila aliyelogwa anajua na kama ukibisha sawa lakini hatima Yako IPO hatarini nakushauri kama una Babu shangazi njomba hebu muelezee hiyo Hali usiishie hapa JF ambako wengi wamezaliwa mjini hawajabamizwa na wamesoma na mzungu kawaaminisha wasiamini uchawi ndugu fuatilia hiyo ishu usijeishia shimo la tewa
 
Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Huyo kajipaka mafuta ya simba akinuia jina lako.
Hii ni silaha kubwa mno kama nuke, hutumiwa walau na maboss waoga ofisin sio mapenzini.
 
Huo ni uchawi na asili yake ni Simba au chatu mfano Kwa tuliopita shule Kubwa unakuta wanafunzi mnataka kugoma mna malalamiko kibao lakini kengele ikigongwa pale Assembly MKUU WA SHULE AKIFIKA mnajikûta mnatetemeka na uoga wa kufa mtu siyo Bure huwa ni madawa.

Dawa ya simba ni kutawanya kama ilivyo Kule porini Simba akitokea wanyama hutawanyika wakiwa ktk taharuki ya woga.

Dawa yenye asili ya chatu ni ya kuogofya hata waliochunga mifugo kama jirani kuna chatu wao huhisi harufu utaona wanyama wanakuwa na hofu ingawa hawakimbii lakini wanakuwa wanyonge.
Hivyo kaka Kwa maelezo ulotoa ingawa umejitetea kwamba hujalogwa nikwambie tu Si Kila aliyelogwa anajua na kama ukibisha sawa lakini hatima Yako IPO hatarini nakushauri kama una Babu shangazi njomba hebu muelezee hiyo Hali usiishie hapa JF ambako wengi wamezaliwa mjini hawajabamizwa na wamesoma na mzungu kawaaminisha wasiamini uchawi ndugu fuatilia hiyo ishu usijeishia shimo la tewa
Sorry mkuu.
Siamini hayo makorokocho
 
Huyo kajipaka mafuta ya simba akinuia jina lako.
Hii ni silaha kubwa mno kama nuke, hutumiwa walau na maboss waoga ofisin sio mapenzini.
Waafrika tuache imani za ajabu ajabu.
 
Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Huyo alishakulisha mimavi na mikojo yake ili uwe zwazwa kwake, ni mchagga au mpare nini? Lakini dalili kubwa zinaonyesha kuwa ni demu wa Kitanga tu au Muha wa Kigoma.
 
Ameshakupa kitu kwenye kichwa cha abdala kwenzi then ikaingia huko chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huchomoki hapo Mpaka akuague yeye mwenyewe
 
Back
Top Bottom