fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hii sio nzuri na ndiomana umejaa hofu juu yake. NitextNdio mkuuš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sio nzuri na ndiomana umejaa hofu juu yake. NitextNdio mkuuš
Ukijitahidi kutokumheshimu mwanaume, utaachana nae na utampata mshenzi zaidi yake, na by the way anabeba mamlaka ya kiMUNGU aliyopewa kama mwanaume, tatizo ni moja tu kwamba utandawazi umewaharibu sana wanawake,yuko mtu anamhudumia mwanamke, anamlipia Kodi na pesa ya chakula, lakini huyo mwanamke ni mbabe mbabe mwenye kauli mbovu pale anapoulizwa hata tu mbona hajapokea simu zaidi ya masaa matatu, anakuja juu, anakata simu, anajifanya mjuaji na hana ujuaji wowote, anatoka familia masikini, hana kazi ya kueleweka, yaani ni mshenzi mshenzi sana, wanawake wengi wanaposemaga kua ntamblock mwanaume hua ni kiburi tu Cha kwamba wanaume wako wengi na anatongozwa kila siku, sasa utakua na wanaume wote? Heshimu wanaume mnaokua nao na aachecheni ujinga na ulimbukeni wa "NINA KAZI YANGU" sijui mala "NIMESOMA ASINIBABAISHE" mmejaa ujinga ujinga tuHello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
WanaJf mnaNongwa!!Mwandiko umekaa kiume
Mbona Uzi unaenda vizuri ujue alikuwa na sababu na ndo content zinazofurahiwa humu( halafu kwa ushauri usipende kukatisha wenzio ameandika ili kuona Kama yupo Sahihi wewe eti hujaona sababuSijaona sababu ya wewe kuanzisha huu uzi
Umeongea kwa hisia mkuu.Ukijitahidi kutokumheshimu mwanaume, utaachana nae na utampata mshenzi zaidi yake, na by the way anabeba mamlaka ya kiMUNGU aliyopewa kama mwanaume, tatizo ni moja tu kwamba utandawazi umewaharibu sana wanawake,yuko mtu anamhudumia mwanamke, anamlipia Kodi na pesa ya chakula, lakini huyo mwanamke ni mbabe mbabe mwenye kauli mbovu pale anapoulizwa hata tu mbona hajapokea simu zaidi ya masaa matatu, anakuja juu, anakata simu, anajifanya mjuaji na hana ujuaji wowote, anatoka familia masikini, hana kazi ya kueleweka, yaani ni mshenzi mshenzi sana, wanawake wengi wanaposemaga kua ntamblock mwanaume hua ni kiburi tu Cha kwamba wanaume wako wengi na anatongozwa kila siku, sasa utakua na wanaume wote? Heshimu wanaume mnaokua nao na aachecheni ujinga na ulimbukeni wa "NINA KAZI YANGU" sijui mala "NIMESIMA ASINIBABAISHE" mmejaa ujinga ujinga tu
Na wewe muongo Sasa Kama kwa sms unaweza mjibu what the differenceHawezi kuwa na michepuko.
Ananipenda sana.
Namuamini.
Na kama kumtii mwanaume wangu ni undondocha haina shida dini yangu imenifundisha kuwatii wanaume na ndio maana naogopa hata kumjibu vibaya
YaanišWanaJf mnaNongwa!!
Hajui kuwa sometimes mtu unaomba ushauri ukiwa tayari unajua jibu ila unataka tu kusikia mitazamo ya wengine ili kupata uhakika wa ambacho tayari unajua ila huna uhakika nachoMbona Uzi unaenda vizuri ujue alikuwa na sababu na ndo content zinazofurahiwa humu( halafu kwa ushauri usipende kukatisha wenzio ameandika ili kuona Kama yupo Sahihi wewe eti hujaona sababu
There is a difference mkuu!Na wewe muongo Sasa Kama kwa sms unaweza mjibu what the difference
Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...Hello people.
Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.
Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.
Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.
Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.
Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.
Mimi ni mwanamke.
Yawezekana ni kweli nimempenda hadi sijielewi ila unataka niseme ni katili wakat sio?Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...
Yawezekana ni kweli nimempenda hadi sijielewi ila unataka niseme ni katili wakat sio?Eti sio mkatili wala sijalogwa,umejuaje kama hajakuloga,na kama sii mkatili unaogopa nini?inaonekana umempenda sana kwahiyo hujielewi...
Basi katafute Dunia yako ya kuishi ili usikutane na unacho kutana nacho maana hakikwepeki hapa Duniani iwe kwa huyo au Kwa mwingineUmeongea kwa hisia mkuu.
Nimekuelewa.[emoji120]
Kumuheshimu ni wajibu wangu.
Sitaacha
Kwa upande wangu block sio kiburi bali nakua nimechoka mauzauza mkuu.
Si bora mtu akublock kuliko maugomvi na matusi juu ndo ujue kakuchoka?Basi katafute Dunia yako ya kuishi ili usikutane na unacho kutana nacho maana hakikwepeki hapa Duniani iwe kwa huyo au Kwa mwingine
Sina lolote baya nimewahi mfanyia mkuu.Kuna jambo ambalo ulilifanya ukijuwa kwamba siyo sawa lakini ukalifanya bila yeye kujuwa hivyo unapomsikia unapata huna nguvu ya nafsi kwa sababu kuna jambo umelificha.
Living in Buza with him my life will be more glamorous than living in Ibiza without him.
I love the guy.
Wow and wow!Penzi langu limejengwa juu ya mwamba..Mwamba ni Yesu hata ije dhoruba hatutatikisika..acha kunitishaš
Poor you!Story of my lifeš.
Kwenye sms unajimwambafai ila ukiambiwa uyarudie live mdomo haufungukiš
Poor you!Sina lolote baya nimewahi mfanyia mkuu.
Im a very loyal woman.
Nikipenda huwa sitizami pembeni