Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Mwanaume siku zote anatakiwa awe na sauti ya mamlaka na muwajibikaji kwa mwanamke na popote pale hata ndani na nje ya familia yake...

Wewe hapo sio uoga ni utii na unyenyekevu kwake na hivyo ndivyo unavyo takiwa uwe kama mwanamke ..

Ila kuna wajinga wanao kushauri kua una mwoogopa mpenzi wako na wanataka umkalie mwanaume kitu ambacho hakiwezekani , sasa maneno yao yanakufanya ujione mwoga kwa mwanaume na ukiwasikikiza utajiharibia mahusiano yako mwenyewe kwa mikono yako .amini nakuambia wewe bi dada
 
Mwanaume siku zote anatakiwa awe na sauti ya mamlaka na muwajibikaji kwa mwanamke na popote pale hata ndani na nje ya familia yake...

Wewe hapo sio uoga ni utii na unyenyekevu kwake na hivyo ndivyo unavyo takiwa uwe kama mwanamke ..

Ila kuna wajinga wanao kushauri kua una mwoogopa mpenzi wako na wanataka umkalie mwanaume kitu ambacho hakiwezekani , sasa maneno yao yanakufanya ujione mwoga kwa mwanaume na ukiwasikikiza utajiharibia mahusiano yako mwenyewe kwa mikono yako .amini nakuambia wewe bi dada
Sawa mkuu.
Hakuna mtu atakayenishauri ujinga nikamsikiliza.
Nitakua mtii na mnyenyekevu kwake hadi mwisho na hata ikitokea simuelewi nitasepa kimya kimya bila neno lolote baya kwake
 
Back
Top Bottom