Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
- #221
Ananisikiliza sana.Mwanaume asiyetaka majadiliano sikuzote anataka lake ndio liende,sasa Kuna communication hapo kweli?wanakuwaga madikteta haoš¤£ajiandae kuwa mzee wa ndio,na huko kumzid kipato,wakija oana ataachishwa kaziš
Na hata ushauri nampaga na anaufuata.
Akikasirika tu ndo anakua mkali.