Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Mwanaume wako ni masculine man.
Mlinde at all cost asibadilike maana wanaume wako wachache.
Punguza woga, jione kama mshauri mkuu kwake hapo unaweza toa hoja zako kwake na umuone kama kiongozi wako.
 
Pole dear!
Wa kwako anaonekana ni dikteta[emoji23].
Mimi wa kwangu nikiongea vya maana/positive ananisikiliza na ananisifia ila nikiwa negative au nikikosea ndio anakua mkali sana na ndio mana namuogopa.
Niliokuaga nao mwanzo nilikua nikilia wanalegea ila huyu wa sasa kama nimekosea hata nikilia hajali[emoji23]
Basi huyo Hana shida,mimi alikuwa akinikosea nikilia ndo kwanza anakugombeza na kukutukana kabisa,yani kiufupi hajali machozi yako,uwe unaumwa hawezi kuuliza hata unaendeleaje,akikupigia simu hata hujamaliza mazungumzo anakata na haulizi labda ulikuwa unataka kuongea Nini[emoji23][emoji23],yani mda wote unakuwa na hofu hata ukitaka kumuuliza jambo,akienda kazini ukimpigia sim hata kumuuliza umefika wapi anakufokea,eti unamfatilia maisha yake,yani yy anafanya atakavyo,hajali utaumia au la,ila dunia Ina vituko hii[emoji2960]
 
Basi huyo Hana shida,mimi alikuwa akinikosea nikilia ndo kwanza anakugombeza na kukutukana kabisa,yani kiufupi hajali machozi yako,uwe unaumwa hawezi kuuliza hata unaendeleaje,akikupigia simu hata hujamaliza mazungumzo anakata na haulizi labda ulikuwa unataka kuongea Nini[emoji23][emoji23],yani mda wote unakuwa na hofu hata ukitaka kumuuliza jambo,akienda kazini ukimpigia sim hata kumuuliza umefika wapi anakufokea,eti unamfatilia maisha yake,yani yy anafanya atakavyo,hajali utaumia au la,ila dunia Ina vituko hii[emoji2960]
umemkimbia??
 
Mwanaume wako ni masculine man.
Mlinde at all cost asibadilike maana wanaume wako wachache.
Punguza woga, jione kama mshauri mkuu kwake hapo unaweza toa hoja zako kwake na umuone kama kiongozi wako.
Sawa mkuu nitazidi kumuombea.
Ila akipanikigi duuh ni mkali lkn naamin woga utaniisha tu
 
Sawa mkuu nitazidi kumuombea.
Ila akipanikigi duuh ni mkali lkn naamin woga utaniisha tu
Tena omba Mungu sana,piga sana goti maana wanaume wa hivi wana Siri kubwa sana,anaweza akawa anafanya mambo makubwa na ya ajabu kwa kuwa anajua unamuamini unampenda na unamuogopa pia,siku anakufanyia tukio kubwa na unadhindwa hata la kufanya
 
Tena omba Mungu sana,piga sana goti maana wanaume wa hivi wana Siri kubwa sana,anaweza akawa anafanya mambo makubwa na ya ajabu kwa kuwa anajua unamuamini unampenda na unamuogopa pia,siku anakufanyia tukio kubwa na unadhindwa hata la kufanya
Nimemwambia hataki, mwanaume wa hivyo anakuwaga na tabia za kujificha ,huyu dogo haelewi tu,ila tunamtakia kila la heri🙏
 
Basi huyo Hana shida,mimi alikuwa akinikosea nikilia ndo kwanza anakugombeza na kukutukana kabisa,yani kiufupi hajali machozi yako,uwe unaumwa hawezi kuuliza hata unaendeleaje,akikupigia simu hata hujamaliza mazungumzo anakata na haulizi labda ulikuwa unataka kuongea Nini[emoji23][emoji23],yani mda wote unakuwa na hofu hata ukitaka kumuuliza jambo,akienda kazini ukimpigia sim hata kumuuliza umefika wapi anakufokea,eti unamfatilia maisha yake,yani yy anafanya atakavyo,hajali utaumia au la,ila dunia Ina vituko hii[emoji2960]
Duuuh na kutukanwa juu!?

Huyu wa kwangu akikasirika na yeye huwa hajali chozi ila hata siku moja hajawahi kunitukana wala kunikashifu.

Huyo wa kwako ni rude.
Mimi siku akinitukana nasepa.
 
Hawezi kuni abuse ananipenda.
Pia mimi ndio nimejikuta tu namuogopa
Hakuna aliyesema hakupendi,ana controlling behavior ambayo hupelekea abuse ikitokea hujafatisha atakayo yeye,manake yeye ndo sole muamuzi katika lolote matakalojadil au kupanga.Anyways relax mama and all the best🙏
 
Haijalishi Kama wewe ni ME ama KE ila jua mwenzio amekufanyia limbwata la hatarii Sana, Yaani hapo utaendelea tu kupooza
 
Back
Top Bottom