Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Namuogopa mpenzi wangu nikisikia sauti yake

Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
He is the right man to marry you. Huku utapewa kila aina ya ushauri, ila huyo mwanaume ndio wako. Kama anakuheshimu, move on nae
 
Ila inasikitisha kudhani hicho ndio kitu pekee tunachowaheshimia mkuu.

Mfano siku aamke akute haipo then ajiue au aniache atakua kanifanyia dhambi kubwa sana coz tunaweza kuishi vizuri bila hiyo
ni ngumu kuamini kwasababu tubasikia sana watu wanaachwa kwasabau wamepungukiwa hiyo nanii 😂 its easier said than done...
 
ni ngumu kuamini kwasababu tubasikia sana watu wanaachwa kwasabau wamepungukiwa hiyo nanii 😂 its easier said than done...
Kama uli invest kitandan zaid ya kwingine lazima upigwe chini tu.
Naniliu wangu mim hajawekeza kitandan tu so ana uhakika wa kuendelea kupendwa na kuheshimiwa na kuogopwa hata nanii ikiacha kutoa ushirikiano
 
Hello people.

Ndugu zanguni nina hali fulani hivi siielewi.

Nampenda sana shemeji yenu na kwa jinsi alivyo nimejikuta namuheshimu sana ila nahisi kama heshima imezidi hadi imegeuka woga hivi.

Japo huwa ananisaidiaga financially akijisikia ila nahisi ninamzidi kipato na simtegemei ila sijui kwanin sauti yake imekua na mamlaka sana kwangu,yaan nikisikia tu sauti yake sijui kwanini hata tone yangu inabadilika na kuwa ya upole na unyenyekevu mkubwa na huwa nalipima neno kabla ya kumwambia.

Kuna siku alinikasirisha sana na sikutaka tena kuendelea na mahusiano nae akawa akipiga sipokei then kwa hasira nikapanga akipiga nipokee then nimfokee nimjibu mbovu then nikate nimblock lakini cha ajabu nilivyopokea na kusikia sauti yake tu sikuweza tena kuongea nae kwa sauti ya ukali kama nilivyopanga na maneno makali niliyokua namwambia kwenye sms ukiniambia nimwambie kwa mdomo siwezi so nikaishia kuwa mpole kama mwanakondoo tu.

Sio mkatili wala sijalogwa ila nikimzingua ni mkali sana ila anajali na anajitahidi sana kunionesha upendo lakini sijui kwanini namuogopa hadi nakosa ujasiri wa kutoa madukuduku yangu kwake.

Mimi ni mwanamke.
Jibu unalo umelogwa, acha kutupotezea mda
 
Kwa hiyo sina kasoro mkuu?

Lakin si inashauriwa kwenye mahusiano pakiwa na shida mkae muyaongee?Sasa mim nabakia kulia tu au kuitikia tu,hata kumbishia siwezi au hata kumkatisha akiwa anaongea siwezi hata kama nina hasira na unakuta nina vitu nataka kusema.

Nikikabwa sana nakimbilia kumuandikia sms kwa mdomo siwez kumwambia.Na akikasirika ni mkali hata ukilia hajali
Nilikuwa naye huyu,pole sana wanatiaga hasira sana,yani hata ukimwambia jambo la maendeleo hakusikilizi,na akiongea hataki umkatishe,ila ww ukiongea kabla hujamaliza anakukatisha[emoji23][emoji23],kiufupi hajali chochote kuhusu wewe,ila majukumu ya familia anatekeleza kama kawaida,
 
Nilikuwa naye huyu,pole sana wanatiaga hasira sana,yani hata ukimwambia jambo la maendeleo hakusikilizi,na akiongea hataki umkatishe,ila ww ukiongea kabla hujamaliza anakukatisha[emoji23][emoji23],kiufupi hajali chochote kuhusu wewe,ila majukumu ya familia anatekeleza kama kawaida,
Pole dear!
Wa kwako anaonekana ni dikteta😂.
Mimi wa kwangu nikiongea vya maana/positive ananisikiliza na ananisifia ila nikiwa negative au nikikosea ndio anakua mkali sana na ndio mana namuogopa.
Niliokuaga nao mwanzo nilikua nikilia wanalegea ila huyu wa sasa kama nimekosea hata nikilia hajali😂
 
Back
Top Bottom