Labda hayo maji ya betri anunue sbb ya wengine but sio mimiEndelea kumueshimu tu mapenzi yanaumiza sana asije akaenda kununua maji ya betri bure ukajikuta unalia kila siku ya maisha yako.
Usiombe ukutane na mtu wa hivyo, yani kwake yeye cha thamani sana ni wewe mpenz wake na hayupo tayari kukupoteza kwa namna yeyote ile kwahiyo ukiwa against nae kukuletea shida ni kugusa tu.yani weeee hadi utatamani siku zirudi nyuma usiwahi mfahamu tena,,ila nyie kuna watu wanateseka kwenye haya mahusiano na hawana la kufanya,mtu anakwambia kabisa,bora tukose wote kwaio nakuua
Jiongezendio,, nisaidie basi
Siku ntamnywea pombe then nampa shitLeta sikio hilo,au bas we block tu namba yoyote akikutafuta nayo, unaeza jibu ovyo kumbe akili zake ni fyatu akaja kukufanyia kitu mbaya, wanaume hawafanani.
afu unakuta mtu mwenyewe mkorofi balaa hakujali kwa lolote,, yaani muda anaokua mzuri ni akitaka mzigo aseeee unaeza konda hadi meno dadeqiiiiiUsiombe ukutane na mtu wa hivyo, yani kwake yeye cha thamani sana ni wewe mpenz wake na hayupo tayari kukupoteza kwa namna yeyote ile kwahiyo ukiwa against nae kukuletea shida ni kugusa tu.
Aseeee sikushauri usijejutia, endelea kumuogopa na kumpuuzaSiku ntamnywea pombe then nampa shit
Au ni we mwenyewe 🥲🤒Jiongeze
Hebu soma tena ulichoandika.
You are in denial.
Siku hiyo ndio utadhihirisha yakuwa bado unampenda si unajua pombe huwa haiongopi, nyie mtajarudiana wewe bado una hasira za aliyokutenda ila ipo siku utasahau na utapoa.Siku ntamnywea pombe then nampa shit
Shauri yako mi mwenyewe ndio huyo naesemwa na mleta mada 😂Au ni we mwenyewe 🥲🤒
Sio kwel,, ngoja nije pm🥲😂Shauri yako mi mwenyewe ndio huyo naesemwa na mleta mada 😂
Nashukuru Mungu mapito yangu hadi sasa sijawai kutana na wa aina hiyo ila nayashuhudia kwa wadau hadi huruma.afu unakuta mtu mwenyewe mkorofi balaa hakujali kwa lolote,, yaani muda anaokua mzuri ni akitaka mzigo aseeee unaeza konda hadi meno dadeqiiiii
Nishakupa angalizo ndio mimi 😂Sio kwel,, ngoja nije pm🥲😂
Wewe ni jasiri.Huyo Ex wako ni Kama wangu tofauti ni kuwa mimi simuogopi hata theluthii na kila akinitafuta lazima nimtukane
Yaani ni msumbufu Kama wako ila hatuwezi kuongea kawaida bila kuishia kugombana… yaani kuna siku tukatukanana na demu wake nikamwambia mwambie mwanaume wako akome kunitafuta simtaki et alikuwa anasikia maana aliweka round speaker na akasikia nikisema anikome
Katulia wiki mbili tena kanitafuta kasema yeye hawezi kuacha kunitafuta hata Kama simjibu yeye atanitafuta
NB
Sio kwamba simpendi nampenda sana ila siwezi kurudiana nae kaenda kuzaa na mwanamke mwinginee siwezi kuwa na mwanaume mwenye mtoto halafu ni under30 angekuwa above 30 ningemfikiria
ila kuna watu vichaa nyie,hajali lolote haogopi chochote, unaeza sema uhame mji anahamia na varangati kwa ndugu zakoNashukuru Mungu mapito yangu hadi sasa sijawai kutana na wa aina hiyo ila nayashuhudia kwa wadau hadi huruma.
Kuna watu mnazinguana nyumbani au kwenye simu alafu vurugu anakuja kukuletea ofisini 😂
ila kuna watu vichaa nyie,hajali lolote haogopi chochote, unaeza sema uhame mji anahamia na varangati kwa ndugu zakoNashukuru Mungu mapito yangu hadi sasa sijawai kutana na wa aina hiyo ila nayashuhudia kwa wadau hadi huruma.
Kuna watu mnazinguana nyumbani au kwenye simu alafu vurugu anakuja kukuletea ofisini 😂
Embu vaa viatu wewe ndiyo mwanaume afu manzi ako akamwambie uongee na x wake utakubali?Pole sana Kwa hiyo changamoto...
Kama umeshapata mahusiano mengine (mpenzi mwingine) muelekeze kuhusu hiyo changamoto ili akusaidie kuongea naye.
Kama hauna mpenzi, mkodi mtu atakayevaa hivyo viatu ili kukusaidia uondokane na hiyo adha.
Seems huyo mwenzako bado haja-move on, bado anakupenda
Onhoo kumbe wampenda bwan 😂 mbon kule juu umekataaWewe ni jasiri.
Mimi Sijui ni zoba sijui ndo wale mapooza,sijui hata kwanini namuogopa.
Mimi pia nampenda lkn ni furushi la stress.
Onhoo kumbe wampenda bwan 😂 mbon kule juu umekataaWewe ni jasiri.
Mimi Sijui ni zoba sijui ndo wale mapooza,sijui hata kwanini namuogopa.
Mimi pia nampenda lkn ni furushi la stress.