Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Babu hiyo haisaidii kitu kama bado wenyewe hawajamove on toka mwaka 47.Lengo la kuongea naye ni kumchimba mkwara asilete mazoea na demu wangu, sasa Kuna shida gani kufanya kazi rahisi namna hiyo
Mkuu, wanasema ukicheka na nyani utavuna mabuwa