Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Asante mkuu.Pole sana Kwa hiyo changamoto...
Kama umeshapata mahusiano mengine (mpenzi mwingine) muelekeze kuhusu hiyo changamoto ili akusaidie kuongea naye.
Kama hauna mpenzi, mkodi mtu atakayevaa hivyo viatu ili kukusaidia uondokane na hiyo adha.
Seems huyo mwenzako bado haja-move on, bado anakupenda
We mpe utelezi tu. Usisababishe aanze kutumia mate
Mazingira hayo yanatengenezwaje mkuu?Usituletee matatizo
Kipindi mnapendana na kupokea zawadi zake. Hakunaga mwanaume anapenda kifala hivyo.. umemtengenezea mazingira mwenyewe.
Kama vipi mlogee
Hiyo ni investment, ni muhimu kuitunza na kuiheshimu my lady. Kuna leo na kesho 🐒
Hand writing ya mtoto wa "afu mbili"
Asante kwa kufafanuaAmesema hatomblock kwa sababu huwa anamtafuta kwa namba nyingine
Hiv mwanamke asipokua submissive solution yake ni nini?Wanaokushauri wanapoteza muda. Bado unampenda na huo ukali na kero kero ndio masculine energy inayokufanya uwe addicted nae zaidi kwa sababu anakufanya uwe submissive lakini anakufanya ujihisi safe
Hiyo chuki ndio upendo wenyewe na kama kwenye simu huwezi kujizuia. Akifika mbele yako kashamaliza mchezo. Lakini usisahau kuwa makini maana kama kuna viashiria vibaya unaviona na kuvipuuza, ipo siku utavilipia. All the best
Kwani aki block moja nyingine hawezi ku block?
Wemgine tigo zimenyonywa na deki zikapigwa ila baada ya sex ujeuri mwanzo mwishooHuyo mwanaume atakuwa alikunyonya "tigo" ndio maana huna ujasiri wa kumwambia kwa ukali.
Pole sana.
Huyu cha kumshauri ni warudiane tu asiutese moyoBado anampenda ndio maana mara aseme hamjibu lakini bado huwa anamjibu na kutegemea majibu, rejea aliposema tatizo lake text zake anazidharau hamjibu.
Ushauri wa mbolea huu auchukue na wewe pia unakufaa sana.Huyu cha kumshauri ni warudiane tu asiutese moyo
mi nikienda nimeenda hua sitetemeki hata unijie na bunduki,sembuse kupga cm tu mxiuuuuUshauri wa mbolea huu auchukue na wewe pia unakufaa sana.
Kwa kweli sitaki kumpenda mana nitakufa na stress tu.Upendo nilompa unatosha na bahati nzuri au mbaya hata hakuuthamini.Wanaokushauri wanapoteza muda. Bado unampenda na huo ukali na kero kero ndio masculine energy inayokufanya uwe addicted nae zaidi kwa sababu anakufanya uwe submissive lakini anakufanya ujihisi safe
Hiyo chuki ndio upendo wenyewe na kama kwenye simu huwezi kujizuia. Akifika mbele yako kashamaliza mchezo. Lakini usisahau kuwa makini maana kama kuna viashiria vibaya unaviona na kuvipuuza, ipo siku utavilipia. All the best
No. Zangu hazipaswi kupotea hewani hata kwa siku moja mkuu.Nunua namba mpya ya simu, hiyo anayofahamu ipumzishe kwa angalau mwaka mmoja. Baada ya muda atakusahau taratibu hasa kama ukiwa na 'mwamba' mpya
Kwenye keyboard kujitutumua kawaida ila ukiwa mwenyewe unalilia chooni.mi nikienda nimeenda hua sitetemeki hata unijie na bunduki,sembuse kupga cm tu mxiuuuu
Kulia kwel kupo ila ukishaamua kusepa hupaswi kulia wala kumuogopa mtu,,n mda wa yeye kukuogopa na kukulilia.Kwenye keyboard kujitutumua kawaida ila ukiwa mwenyewe unalilia chooni.
Mi hata sijui kama bado nampenda ila nimemchoka tu mambo yake natamani tu mimi na yeye kila mtu amsahau mwenzierelax ataacha mwenyewe,,ila mbona kam bado unampenda ivi......
KwendraaaaaKulia kwel kupo ila ukishaamua kusepa hupaswi kulia wala kumuogopa mtu,,n mda wa yeye kukuogopa na kukulilia.