Namuogopa X wangu

Namuogopa X wangu

Pole sana Kwa hiyo changamoto...

Kama umeshapata mahusiano mengine (mpenzi mwingine) muelekeze kuhusu hiyo changamoto ili akusaidie kuongea naye.

Kama hauna mpenzi, mkodi mtu atakayevaa hivyo viatu ili kukusaidia uondokane na hiyo adha.

Seems huyo mwenzako bado haja-move on, bado anakupenda
Asante mkuu.
Nitafanya hivyo.

Wala sio kama hajamove on au bado ananipenda.Hata hanipendi ni mchokozi tu.Anapenda kunichokoza
 
Wanaokushauri wanapoteza muda. Bado unampenda na huo ukali na kero kero ndio masculine energy inayokufanya uwe addicted nae zaidi kwa sababu anakufanya uwe submissive lakini anakufanya ujihisi safe

Hiyo chuki ndio upendo wenyewe na kama kwenye simu huwezi kujizuia. Akifika mbele yako kashamaliza mchezo. Lakini usisahau kuwa makini maana kama kuna viashiria vibaya unaviona na kuvipuuza, ipo siku utavilipia. All the best
Hiv mwanamke asipokua submissive solution yake ni nini?
 
Wanaokushauri wanapoteza muda. Bado unampenda na huo ukali na kero kero ndio masculine energy inayokufanya uwe addicted nae zaidi kwa sababu anakufanya uwe submissive lakini anakufanya ujihisi safe

Hiyo chuki ndio upendo wenyewe na kama kwenye simu huwezi kujizuia. Akifika mbele yako kashamaliza mchezo. Lakini usisahau kuwa makini maana kama kuna viashiria vibaya unaviona na kuvipuuza, ipo siku utavilipia. All the best
Kwa kweli sitaki kumpenda mana nitakufa na stress tu.Upendo nilompa unatosha na bahati nzuri au mbaya hata hakuuthamini.
Viashiria vibaya vipo na ndo mana sitaki mawasiliano nae nisijelia kilio huko mbele.
Kwa sasa my goal ni kuishi maisha yangu yaliyobaki Stressfree
 
Back
Top Bottom