Good ideaMtishie kwamba utamsemea kwa Trump
Kabla sijasoma uzi wako wewe jinsia gani?
Ndivyo ulivyozoea kufanyiwa pole sanaHuyo mwanaume atakuwa alikunyonya "tigo" ndio maana huna ujasiri wa kumwambia kwa ukali.
Pole sana.
AkhuuhBADO UNAMPENDA.
Sidaiwi kitu mieRudisha mali na hela za watu kabla hayakukuta Poor Brain dronedrake
Wala hanidaiMrudishie Vitu vyake hatokusumbuwa tena.
Basi shkilia hii,,bado unampendaMi hata sijui kama bado nampenda ila nimemchoka tu mambo yake natamani tu mimi na yeye kila mtu amsahau mwenzie
SawaaaaaaKwendraaaaa
Not anymore wewe toa tu ushauri mkuubado unampenda Acha kutusumbua
Bado unampenda bafulaniSawaaaaaa
Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii na huyu mpya nmwachie nanπBado unampenda bafulani
Pengine ndio hulka yake.Hiv mwanamke asipokua submissive solution yake ni nini?
Ngoja nikae kimya maana nikikujibu inavyopaswa utajiskia vibaya na mimi sipendi ujiskie vibaya.Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii na huyu mpya nmwachie nanπ
Labda nikufanyie wewe..Ndivyo ulivyozoea kufanyiwa pole sana
Ms R huyu jamaa ana mke tayari.Ngoja nikae kimya maana nikikujibu inavyopaswa utajiskia vibaya na mimi sipendi ujiskie vibaya.
Hahahaha πππ kwendaaaaaaaNgoja nikae kimya maana nikikujibu inavyopaswa utajiskia vibaya na mimi sipendi ujiskie vibaya.
Ukiona mnachokozana kama hivyo, seems wote bado mnapendanaAsante mkuu.
Nitafanya hivyo.
Wala sio kama hajamove on au bado ananipenda.Hata hanipendi ni mchokozi tu.Anapenda kunichokoza
Mimi simjali kwa chochote mkuu ila yeye ndo akiona nimetulia na maisha yangu anaanza kunichokoza na text au au simu.Kama humpendi na humuitaji tena kwenye maisha yako usijali kuhusu chochote kumhusu.
Ukiona bado unapata hali ya kujali chochote kumhusu jua fika bado unampenda, yajengeni kupendana kuna raha sana. Inapendeza sana kuona wawili wakipendana.