Amwage chumvi ya mabonge na ndimu kuzunguka nyumba yake ndani na nje na kwenye kila kona aweke kipande cha ndimu kilichochomwa tooth pick ..hii ni pamoja na juu ya mlango
Juu darini kwenye ceiling board kwa ndani atupie mifupa ya mkuu wa meza na akilala ageuze nguo nje ndani au nyuma mbele
Mkuu the weekend cheki pm yako tafadhaliKuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Pale karibu na Kazima Sec auKuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.
Mkoa X na kijiji fulani ndio wapi?Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6.Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi
na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Wataalamu tunaita ana hallucinations..Economic hardship leads to depression resulting to think you are bein bewitched
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtaalamuAmwage chumvi ya mabonge na ndimu kuzunguka nyumba yake ndani na nje na kwenye kila kona aweke kipande cha ndimu kilichochomwa tooth pick ..hii ni pamoja na juu ya mlango
Juu darini kwenye ceiling board kwa ndani atupie mifupa ya mkuu wa meza na akilala ageuze nguo nje ndani au nyuma mbele
Kwani Kitoabu anasemaje kwenye hii issue?Rafiki yangu ni mwalimu katika kijiji fulani huko ndani ndani sana mkoa X.
Sasa hicho kijiji kumekuwa na uchawi sana mpaka kero.
Rafiki yangu pamoja na walimu wenzake baadhi hupatwa ma vituko usiku kitu ambacho huleta msongo wa mawazo.
Vibweka hivi ni kama.
1. Sufuria zenye vyakula kukutwa tupu asubuhi ilhali jana zilikuwa na chakula.
2. Kuhisi mtu ama watu kutembea ndani ya nyumba
3. Vishindo mithiri ya watu kukimbizana kwenye dari
4. Mchanga kumwaga kwenye bati
5. Mawe kurushwa kwenye bati.
6.Baadhi ya walimu kuamka miguu ikiwa na vumbi
na kadhalika
Sasa anaomba ushauri anawezaje kupata uhamisho
Wewe huyo[emoji23][emoji23]Ampokee YESU kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha. Ni YESU tu ndiye kiboko ya wachawi. BIBLIA inasema "Hapana uchawi wala uganga juu ya Yakobo".
Mkuu the weekend.... Japo apunguze codes za mkoa husika apate msaada.Kuna fundi mmoja hatari yuko tabora kama itakupendeza nitakuunganisha awasaidie hao walimu, na hata wenye matatizo makazini, mapenzi, biashara na magonjwa huyo mwamba ni moto wa lipread mbali, anafanya mambo leo kesho unaona matokeo,pia hana blah blah wa kuchangachanga chale which is old school.wengi wamesaidiwa humu ila wanapiga kimya hawasemi ili na wengine wapate msaada.