Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Hayo ni mambo madogo mnoo hata kwa mtu mwenye imani yake ya kawaida kabisaaa ku deal.
Kuna mambo mazito bwana hayo sio mbona.Hayo hata mjini tu wengine tumekutana nayo.
Kuna wale wa visiwan huk mwanza walishawah kuripotiwa wanaingiliwa kimwil kabisa na wachawi wakati wa usiku.
Au sometimes wanakuta vinyesi kitandani..umelala na underwear unaamka mtupu!!acha kabisaaa ...nikahis yatakua matukio kama haya.
Ushauri.
Fanya mpango wahame.Honga ikibidi kwa wadau wa halmashauri hapo wawape ruhusa.
Kuna mambo mazito bwana hayo sio mbona.Hayo hata mjini tu wengine tumekutana nayo.
Kuna wale wa visiwan huk mwanza walishawah kuripotiwa wanaingiliwa kimwil kabisa na wachawi wakati wa usiku.
Au sometimes wanakuta vinyesi kitandani..umelala na underwear unaamka mtupu!!acha kabisaaa ...nikahis yatakua matukio kama haya.
Ushauri.
Fanya mpango wahame.Honga ikibidi kwa wadau wa halmashauri hapo wawape ruhusa.