Namuokoaje rafiki yangu ambaye ni Mwalimu Kijijini, michezo ya wabaya usiku inamnyima raha

Hii nilishawahi kusikia kule Ukerewe na maeneo jirani yake.
 
Amkabidhi Mungu maisha yake awe anasali kweli kwa kumaanisha, ukiona wanakuchezea ujue uko empty yaani hauna ulinzi wa Mungu.
 
Ameshindwa kujiokoa mwenyewe?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hio number moja awaulize wenzake vizuri,kuna mtu anaamka usiku na kupitia ubwabwa..ndio huyo huyo wanamsikia akitembea ndani ya nyumba...waweke mtego watamkamata tuu...[emoji1787][emoji1787]
Kwenye ishu ya msosi, aweke sumu tu ili aone je, kesho yake kuna mtu ataenda kwa sir God? Hapo ndo ataheshimika.

Kuhusu hayo ya uchawi, nadhani asali tu. Au kama vp achukue mafuta ya upako aone hao vibwenga kama watakuja tena kwake.

Hivi kila mwlm akitaka kuhama, nani atafundisha shule, za vijijini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…