OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mwakalebela hajasema hivyo kabisa,alisema wao wanaweza kujitoa kwenye ligi iwapo hapatakuwa na fair playView attachment 1706382
Kwa kuwa Mtibwa nayo ni timu ina Mungu
Kwa kuwa refa naye ni binadam aanaweza kupitiwa
Namuomba Mungu afanye jambo kesho, Yanga wapigwe, halafu refa akosee awanyime goli la ofside.Halafu tuone huu upuuzi wanaoongea viongozi wa Yanga.
Timu ya maana hawana wanalilia kombe?
😂😂😂😂😂. Mnaonewaje wakubwa kama ninyi.Mmeanza kupotosha, kwani kasema wakifungwa au wakionewa?
utabaki hivyohivyo mngekuwa wenye mpira nchi hii Morison angebaki utopoloYanga ndio wenye mpira wa nchi hii Kama ukafikiri utani uliza kombe la Muungano lili ishia wapi na kwa nini halipo tena.
Kamtafute mwenyekiti wa kamati aliye muidhinisha Kwasasa Yuko wapi.utabaki hivyohivyo mngekuwa wenye mpira nchi hii Morison angebaki utopolo
huyo si utopolo mwenzenu au hufahamu aligombea urais yanga akashindwa, hivi unajua alitaka kuwasaidia Hans Pope akamdhibitiKamtafute mwenyekiti wa kamati aliye muidhinisha Kwasasa Yuko wapi.
Pesa ya Simba ndio iliyo mpoteza.huyo si utopolo mwenzenu au hufahamu aligombea urais yanga akashindwa, hivi unajua alitaka kuwasaidia Hans Pope akamdhibiti
Kwani humjui huyu utelembwe mropokaji hapa jamvinj?Mwakalebela hajasema hivyo kabisa,alisema wao wanaweza kujitoa kwenye ligi iwapo hapatakuwa na fair play
Nadhani hausikii vizuri...Nimesikia kuna uwezekano mkubwa baadhi ya wachezaji wakaamua kuachia wafungwe ili timu ijitoe waepuke fedheha ya kuukosa ubingwa
Anafukuza wadhamini bila kujijuaHuyu mwakalibela atuachie timu yetu..
Anajua madhara ya kuitoa timu kwenye ligi?
Anakuwa mpuuzi sana huyu.. yeye asepe waje viongozi wengine waisimamie timu.